AWAMU HII WATALALA NJAA MAANA HATUCHUNIKI
Unewaza Kama Mimi et mabuzi hawa wanaolia lia kila siku tunawaomba hela..Hivi bongo kuna mabuzi au mbuzi....me mbona siyapati jomonii,..
Yaanii me sijawahi kutana nalo etii...naona kila mtu anapambana na hali yakeUnewaza Kama Mimi et mabuzi hawa wanaolia lia kila siku tunawaomba hela..
MbuziiHivi bongo kuna mabuzi au mbuzi....me mbona siyapati jomonii,..
Hata hapa napoishi sipajui mimi😩nialike huko uliko bathiiMbuziiunaishi wapi huyapati
Nipo hapa, wananiiita pepe a.k.a buziYaanii me sijawahi kutana nalo etii...naona kila mtu anapambana na hali yake
Una nini,.mapepe???Nipo hapa, wananiiita pepe a.k.a buzi
Njoo huku namtumbo wapo wengiHata hapa napoishi sipajui miminialike huko uliko bathii
Hv siku hizi Kuna mabuzi au mbuzi!!! mabuzi yalikua enz za jk..
Kuna visungura tu mbuzi Pia hawapoHivi bongo kuna mabuzi au mbuzi....me mbona siyapati jomonii,..
Nimeona mnalalamika mabuzi hamna, mimi kama mjumbe wa chama cha mabuzi tanzania nipo hapa, nichuneeeeUna nini,.mapepe???
AWAMU HII WATALALA NJAA MAANA HATUCHUNIKI