Zekidon
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,903
- 569
utafiti wangu wa haraka kwa wafanyakazi wa serikali na sekta binafsi umeonesha wengi wa wafanyakazi huishi kwa kupokea mshahara chini ya milioni 2 kwa mwezi.
Maisha huendeshwa kwa "dili" ndani na nje ya ofisi husika.
ni asilimia chache ya wafanyakazi hapa nchini hupokea mshahara kuanzia milioni mbili na kuendelea.
kama nakosea nisahihishwe.
Maisha huendeshwa kwa "dili" ndani na nje ya ofisi husika.
ni asilimia chache ya wafanyakazi hapa nchini hupokea mshahara kuanzia milioni mbili na kuendelea.
kama nakosea nisahihishwe.