6G tayari

jay-millions

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
4,477
Reaction score
11,480
Ujio wa 6G tutegemee nini hasa huku Africa, au tuendelee na matumizi yaleyale kama ya 4G?
 
Wakati sie bado tunapambana na watu wasipate huduma ya internet kwa bei rahisi, hiyo starlink bongo bado figisu kupewa leseni. Wenye mamlaka wanakula percent tu toka kwa wauza data nchini.
 
Wakati sie bado tunapambana na watu wasipate huduma ya internet kwa bei rahisi, hiyo starlink bongo bado figisu kupewa leseni. Wenye mamlaka wanakula percent tu toka kwa wauza data nchini.
Hiyo 4g yenyewe bado kufika nchi nzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…