65% ya Bajeti itahudumia Madeni

65% ya Bajeti itahudumia Madeni

mimi sikubaliani na bwana waziri kuhusu jambo hili. Nchemba, uliona wapi duniani watu wanatoa 65% ya bajeti kulipa madeni. mbona muna tupotosha?.
Humo ndiyo tunamopigiwa Kodi zetu!
 
Ndugu Mtanzania jiandae kufunga mkanda maana taarifa ya Waziri wa Fedha ndio inaeleza hivyo kwamba kwa mwaka huu wa fedha zaidi ya 65% ya bajeti itahakikisha madeni yanalipwa.
---

Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema asilimia 65.7 ya bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa fedha 2023/24 itatumika kuhudumia deni la Serikali pindi linapoiva

Wizara hiyo imeomba shilingi trilioni 15.94 ambapo jumla ya shilingi trilioni 10.48 zitatumika kulipa deni hilo

Chanzo: EATV

Toa maoni yako
Kumbykanoia, 60% ya bajeti itatoka bandari ya DP World PTA Dar.


Na DP World wakianza kuziendesha na bandari zetu zingine, lazima tuwe na ziyada (surplus) ya bajeti.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Nina uhakika Mleta mada hajaelewa, yaani nina uhakika 100% kuwa hajaelewa.
 
Ndugu Mtanzania jiandae kufunga mkanda maana taarifa ya Waziri wa Fedha ndio inaeleza hivyo kwamba kwa mwaka huu wa fedha zaidi ya 65% ya bajeti itahakikisha madeni yanalipwa.
---

Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema asilimia 65.7 ya bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa fedha 2023/24 itatumika kuhudumia deni la Serikali pindi linapoiva

Wizara hiyo imeomba shilingi trilioni 15.94 ambapo jumla ya shilingi trilioni 10.48 zitatumika kulipa deni hilo

Chanzo: EATV

Toa maoni yako

Hata kuhesabu hujui?
Asilimia 65 ya bajeti ya wizara ya fedha sio asilimia 65 ya bajeti ya Taifa....vilaza wenzio nao wamekuja kubwabwaja huu ukilaza wako...
trilioni 10 kulipa madeni inakuwaje iwe asilimia 65 ya bajeti wakati bajeti ni zaidi ya trilioni 35??
Yaani 10 Kwa 35 ni asilimia 65??
 
Back
Top Bottom