60 year old marries 25 year old - Photos

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637
Fataki
 

Attachments

  • not fair.bmp
    175 KB · Views: 340
  • NYAMA.bmp
    175 KB · Views: 265
  • untitled.bmp
    175 KB · Views: 200
  • untitled 2.bmp
    397.3 KB · Views: 175
  • untitled 7.bmp
    175 KB · Views: 171
  • untitled 6.bmp
    175 KB · Views: 152
  • untitled 5.bmp
    175 KB · Views: 148
  • untitled 3.bmp
    175 KB · Views: 152
More snaps
 

Attachments

  • untitled 8.bmp
    397.3 KB · Views: 116
  • untitled 9.bmp
    397.3 KB · Views: 96
  • untitled 10.bmp
    397.3 KB · Views: 94
  • untitled 11.bmp
    175 KB · Views: 85
  • untitled 13.bmp
    397.3 KB · Views: 100
Pesa sabuni ya roho jamani! Hilo halina ubishi. Binti mrembo kama huyo ameishia kuolewa na mtu mwenye umri sawa na babu yake!
 
Pesa sabuni ya roho jamani! Hilo halina ubishi. Binti mrembo kama huyo ameishia kuolewa na mtu mwenye umri sawa na babu yake!

licha ya ubabu...pia wazee hawasumbui......wazuri sana hao na wanajua namna ya kutake care
 
staili yako ya sasa inatisha!HUONGEI SANA!wewe ni snap tu na maneno kidoogoooo UJUMBE UNAFIKA:D:D

Kwenye hili bandiko ni HASIRA imenishika huyu FATAKI anasababisha akina Fidel wakose mke.
icon10.gif


Pesa sabuni ya roho jamani! Hilo halina ubishi. Binti mrembo kama huyo ameishia kuolewa na mtu mwenye umri sawa na babu yake!

Ila naona hio ndoa haitadumu muda mrefu huyo mtoto atamuua huyo mzee na presha soon!

licha ya ubabu...pia wazee hawasumbui......wazuri sana hao na wanajua namna ya kutake care

Kwa vile hawana nguvu.
icon10.gif
 
Kwenye hili bandiko ni HASIRA imenishika huyu FATAKI anasababisha akina Fidel wakose mke.
icon10.gif




Ila naona hio ndoa haitadumu muda mrefu huyo mtoto atamuua huyo mzee na presha soon!



Kwa vile hawana nguvu.
icon10.gif

Nani kawaambia kuwa miaka 60 mzee na jogoo hawiki? Zuma ana miaka mingapi na anapiga kama kazi? Nyie mabrazamen jipeni moyo tu hao mnaowaita wazee ngoma yao kubwa; waulizeni dada zenu.
 
HAMNA UBAYA... kama wote wako elligible hawana kipingamizi...shida iko wapi? Ikiwa huyo baba labda kafiwa na mkewe au ni divorced asioe kisa mzee? Binti naye anataka kuolewa, kachoshwa na miyeyusho ya vijana, hataki kutukunwa kama yule tuliyemsoma kwenye post ya MJ1 kumbe afanyeje na keshapata mtu atakayemheshimu.
If I was to get married today basi ningechagua mtu ambaye keshaiona dunia, akajifunza kuwa na heshima, akajifunza nini maana ya kuenzi penzi and who else are better to do that?

Kidding.... just thinking loud
 
HAMNA UBAYA... kama wote wako elligible hawana kipingamizi...shida iko wapi? Ikiwa huyo baba labda kafiwa na mkewe au ni divorced asioe kisa mzee? Binti naye anataka kuolewa, kachoshwa na miyeyusho ya vijana, hataki kutukunwa kama yule tuliyemsoma kwenye post ya MJ1 kumbe afanyeje na keshapata mtu atakayemheshimu.
If I was to get married today basi ningechagua mtu ambaye keshaiona dunia, akajifunza kuwa na heshima, akajifunza nini maana ya kuenzi penzi and who else are better to do that?

Kidding.... just thinking loud

lol WoS,

Hapo nimeelewa hivi,
1. Uko married tayari,
2. hauko married kwa sasa ila ulishawahi kuwa married,
3.Umri wako wa kuolewa bado,
4. Huna interest kabisa na mambo ya kuolewa.

sasa hapo kipi ni kipi my dear...thinking aloud as well
 
Samaki mkubwa kumla mdogo,ingekuwa mbaya zaidi kama mzee huyu agembaka binti huyo.
 
When a dog bites a man, that is not news.

When a man bites a dog, that is news .

Nothing remarkable here, vimwinyi vya Ikwiriri, just to pick a random place on the Tanzanian coast, have been doing this for years.

Now had it been a 60 yo woman marrying a 25 yo guy, that would have been newsworthy, in the caliber of "man bites dog".
 
Interesting..! Kama wote wamependana na wako huru kwa hakika hakuna ubaya.
 
sioni tatizo kama tu kuna mapenzi ya dhati......
hata mimi huwa na-wish nipate wa tofauti kubwa kama hiyo, hana ususmbufu kama vijana, macho utosini!!!
 
Mambo ya visa hayo jamani, hapo naona kama majuu vile not TZ. binti anataka kuishi ng,ambo!!lakini huwezijua
 
Back
Top Bottom