NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
staili yako ya sasa inatisha!HUONGEI SANA!wewe ni snap tu na maneno kidoogoooo UJUMBE UNAFIKAFataki
Pesa sabuni ya roho jamani! Hilo halina ubishi. Binti mrembo kama huyo ameishia kuolewa na mtu mwenye umri sawa na babu yake!
staili yako ya sasa inatisha!HUONGEI SANA!wewe ni snap tu na maneno kidoogoooo UJUMBE UNAFIKA
Pesa sabuni ya roho jamani! Hilo halina ubishi. Binti mrembo kama huyo ameishia kuolewa na mtu mwenye umri sawa na babu yake!
licha ya ubabu...pia wazee hawasumbui......wazuri sana hao na wanajua namna ya kutake care
Njia nzuri ya kupeleka meseji,More snaps
licha ya ubabu...pia wazee hawasumbui......wazuri sana hao na wanajua namna ya kutake care
Kwenye hili bandiko ni HASIRA imenishika huyu FATAKI anasababisha akina Fidel wakose mke.
Ila naona hio ndoa haitadumu muda mrefu huyo mtoto atamuua huyo mzee na presha soon!
Kwa vile hawana nguvu.
kama anaweza kazi... tatizo liko wapi ?
HAMNA UBAYA... kama wote wako elligible hawana kipingamizi...shida iko wapi? Ikiwa huyo baba labda kafiwa na mkewe au ni divorced asioe kisa mzee? Binti naye anataka kuolewa, kachoshwa na miyeyusho ya vijana, hataki kutukunwa kama yule tuliyemsoma kwenye post ya MJ1 kumbe afanyeje na keshapata mtu atakayemheshimu.
If I was to get married today basi ningechagua mtu ambaye keshaiona dunia, akajifunza kuwa na heshima, akajifunza nini maana ya kuenzi penzi and who else are better to do that?
Kidding.... just thinking loud