Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,536
Hivi hawa unaona walivyoishika bastola utafananisha na Huyo wa kibongo kwanza angalia sura zao zimekaa kisaga sumu ebu rejea ya huyo wa kwetu ukimuangalia vizuri unaona anatabasamu alafu angalia mkono wake wa kulia hauna ushilikiano na ule wa kushoto unashika Bastora alafu mkono mwingine auna ushilikiano na mwingine uliona wapi?
KWENYE BLUE-sura kukaa kisaga sumu si kigezo pekee cha kushika bunduki/bastola
kwenye red-si kweli eti anatabasamu...na hata kama anatabasamu,hiyo ni picha mnato unajua kilichopelekea yeye kutabasamu?
kwenye kijani-ushirikiano upi unaozungumzia,kwamba lazima ashikilie kwa mikono miwili ama ni assumptions an kukariri kwako,,, pamoja na bongo movie kuwa nyuma wakosoe kwa vigezo vinavyostahili pasipo shaka...