..................

..................

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
1521362_468732023233295_1260207054_n.jpg

Anayeonyeshewa bastola haonyeshi hata kushtuka.
Halafu bastola ipo karibu sana na mikono ya anayelengwa,je akipokonywa bastola?
 
Utajuaje kama ni bongo movie?

hebu fikiria ingekuwa wewe ukanyooshewa mguu wa kuku reaction gani ingekupata,jamaa hapo kakausha kama wanapiga story vile
 
1521362_468732023233295_1260207054_n.jpg

Anayeonyeshewa bastola haonyeshi hata kushtuka.
Halafu bastola ipo karibu sana na mikono ya anayelengwa,je akipokonywa bastola?

Ndio maana uwa nasema wabongo bado hatujajua kuigiza. Sasa unamlengjea mtu bastola katika umbali mfupi namna hiyo?

Tiba
 
...siku zote naichukia bongo movies kwakuwa hawajui kuvaa uhusika...
 
Ndio maana uwa nasema wabongo bado hatujajua kuigiza. Sasa unamlengjea mtu bastola katika umbali mfupi namna hiyo?

Tiba

ndo walivyo,si unakumbuka moja jambazi alivua viatu ili asichafue kapeti
 
Bastola unaishika kishalobalo kudadadeki Mushi ungekuepo uwaonyeshe ulivyoishika kwa yule bi mdada wa Itv.....
 
Itatuchua miaka 300 kuwafikia wenzetu,halafu kuna kitu najiuliza,hivi remix si inatakiwa kuwa nzuri kuliko original track? Kujipodoa tujifunze kutoka kwao,kuvaa tujifunze kwao,bling bling,kupinda midomo,kushika bastola,swaga na bado umbulula nje nje aiiiiiiii!
 
Bastola unaishika kishalobalo kudadadeki Mushi ungekuepo uwaonyeshe ulivyoishika kwa yule bi mdada wa Itv.....

hata in reality sidhani kama majambazi huwa wakivamia mahali wanapoachia risasi kama wanakaa huo umbali
 
Itatuchua miaka 300 kuwafikia wenzetu,halafu kuna kitu najiuliza,hivi remix si inatakiwa kuwa nzuri kuliko original track? Kujipodoa tujifunze kutoka kwao,kuvaa tujifunze kwao,bling bling,kupinda midomo,kushika bastola,swaga na bado umbulula nje nje aiiiiiiii!

au labda tuseme tumejijengea mawazo kwamba wa nje wanajua sana kuigiza?
 
au labda tuseme tumejijengea mawazo kwamba wa nje wanajua sana kuigiza?

Nilikuwa navutiwa sana na maigizo ya luninga ya kina Kibibi, Ashina, Ondieki, Bw. Sango, Zinzi, Dk. Kurya. Bi. Popo, Master na wenzao kuliko hizi hadithi za sebuleni za kuoneshana masofa na makapeti ya kichina...zamani mtu akikosea anasemwa ama kuchapwa fimbo sio sasa hivi hata mama anaigiza kumtisha mwanae na bastola kwa kuwa bakora na uchafu meeeen!
 
mnawaonea sana...

Nowayback_5099.jpg
article-2212899-1559AF7D000005DC-389_634x705.jpg
article-2212899-1559AF86000005DC-785_634x286.jpg
courtesy-indiatimes.com_.jpg

Hivi hawa unaona walivyoishika bastola utafananisha na Huyo wa kibongo kwanza angalia sura zao zimekaa kisaga sumu ebu rejea ya huyo wa kwetu ukimuangalia vizuri unaona anatabasamu alafu angalia mkono wake wa kulia hauna ushilikiano na ule wa kushoto unashika Bastora alafu mkono mwingine auna ushilikiano na mwingine uliona wapi?
 
na nyie mnaponda sana.......

0.jpg
2010-Chuck-Versus-Nacho-Sampler-Manoosh-at-Gun-Point.jpg
Nikita-at-gunpoint.jpg
3048271_1350746408305.2res_500_276.jpg

Tyta, inawezekana mimi na wewe wote hatuyajui maigizo vizuri. Ukiangalia mazingira ya hizo picha ulizoweka hapa, na hiyo picha ya hao wenzetu mazingira ni tofauti. Unapokuwa nje sehemu ambayo ni rahisi mtu kuruka au kupiga teke huwezi kumshikia mtu pistol kwa distance ndogo namna hiyo, ukifanya hivyo utakuwa unajitafutia maafa. Kwenye sehemu ambazo zimebana na ambako sio rahisi mtu ku-move kwa urahisi then unaweza kumshikia mtu pistol at zero distance.

Tiba
 
Back
Top Bottom