zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
naomba kujuzwa haka ka elf tano ambacho kila mwaka UDOM wanakachukua kwa ajiri ya Usaili,ili hali Watu wana reg.No na ID ZAO.zikionyesha mpaka mwaka wa kumaliza Chuo.
Napenda kujua kama ni halali au ka mradi ka bwana mdogo pale udom,yeye hujita Kuku alaliae a.k.a kondo Mweusi or Mr Tolu.
Naomba kutoa Hoja.
Napenda kujua kama ni halali au ka mradi ka bwana mdogo pale udom,yeye hujita Kuku alaliae a.k.a kondo Mweusi or Mr Tolu.
Naomba kutoa Hoja.