50000 Spectators Showed Up to U18 larger Crowd than the IAAF has ever Recorded in its Existense

duh! kweli umedorora doro. Si nilikuambia wikendi mambo yote? Angalia maisha yako.
Nakumbuka ukimwambia atulie aangalie Sato na Sunday...jamaa amepigwa na butwa...shida ya Geza huwa anabwabwaja maneno mapema kisha baadaye anaaibika...
 
Haha kumbe mnapenda vya bure wazee wa uchumi mkubwa mmevunja record sababu wakenya wazee wa slope, nilijua wazee wa nipee mmejikung'uta tusenti kuzama huko
 
Haha kumbe mnapenda vya bure wazee wa uchumi mkubwa mmevunja record sababu wakenya wazee wa slope, nilijua wazee wa nipee mmejikung'uta tusenti kuzama huko
Check this cow venye povu imemjaa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
No title(61).jpg
 
Machozi ya mapenzi yaliwadodoka wazalendo mazee, ukicheki tunavozoa medani za dhahabu huku wimbo wa taifa ukiskika duniani kote
Ilikuwa ni huzuni kubwa kwa waswahili mallana walitoka kapa bin bashite, mtachezea zero hadi lini? !
IMG_20170718_095429.jpg
IMG_20170718_095413.jpg
 
Back
Top Bottom