Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
Nakumbuka ukimwambia atulie aangalie Sato na Sunday...jamaa amepigwa na butwa...shida ya Geza huwa anabwabwaja maneno mapema kisha baadaye anaaibika...duh! kweli umedorora doro. Si nilikuambia wikendi mambo yote? Angalia maisha yako.