simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Naona athletics hatimaye imetunukiwa heshima well deserved.
Hujui? Yote hayo yalifanikishwa na mkewe rais. Ilikuwa ni project yake akiwa kwenye commitee ya kufanikisha IAAF U-18 World Championship Nairobi 2017. Ana majukumu yake na bajeti yake chini ya Office of The First Lady. Lucy Kibaki alikuwa na The State House Choir,sijui saa hii wako wapi? Hehe!Namuona mana Uhuru Kenyatta anafuraha tele maana anajua mazwazwa yatamchagua mmewake kwa kigezo cha kuleta hayo mashindano.
Uhuru hoiyeeeeeee Raila ziiiiiii