5000 cash ataetafsir sahihi sentensi hii toka kingereza kuja kiswahili

Hii sio sentensi. Haina sifa ya kuwa sentensi. A sentence should have two parts: a subject and a predicate. Where is a predicate here?. Otherwise ondoa tangazo lako kabla hawajifika watu wa fani zao wakakuchamba
basi tuseme maneno haya
 
Mimi mwenyewe na Mimi ndiye....ikiwa ndani ya sentesi ya yaweza kuwa kwa mfano.
Wee!!! Mimi mwenyewe na Mimi ndiye niliyekutumia pesa hizo,iweje Leo unasema hukuzipata.
 
Back
Top Bottom