Kila unit ina mpangilio gani? Kwa maana ya idadi ya vyumba nkEneo ni 400 sqm, limetumika lote, yote ina wapangaji, lipo kiluvya makurunge, pwani karibu na kwa masister au kwa sumaye,
Piga namba +255 68 462 4404 kwa maelezo zaidiView attachment 3484407
Kila unit ina sebule yenye open kitchen, na chumba kimoja masterKila unit ina mpangilio gani? Kwa maana ya idadi ya vyumba nk
Ni mali yangu binafsi35m sio, wewe yako umeongezea hapo ngapi ? Usikute tajiri anataka 26m
Utanitag akikujibKila unit rent ni bei gn?
Wew nunua bei ya rent utapanga ww kwa wateja wako.....Kila unit rent ni bei gn?
Ni mali yangu binafsi
Napunguza loans bank, biashara imekuwa shida kidogo, nitashare picha za ndani shortly, kuna kisima hapo na tank la 5000L, ni mita 200 kwenda barabara kubwa ya mtaa, kodi wanalipa 70k kwa mwezi kila unit, umeme huwa wanshare kulipa wapangaji wenyewe, kuna sales agreement, sikutafutia hati ila naweza assist mtu kupata hatiKwanini unaziuza?
Rusha picha zaidi za ndani, hapo nje kama kuna heti na kwa nje barabarani. elezea ya kodi kiasi gani estimate, maji, umeme n.k. yakoje