5 bila za Dr Slaa, CHADEMA kwa serikali na jeshi la polisi

sambestman

Member
Jan 2, 2012
38
18
Wana JF nimefurahia sana majibu ya Dr. Slaa kwa polisi

1. Chadema hawana imani na jeshi ya police

2. Polisi waseme kwa nini mara zote wapinzani wanapolalamika polisi hawapatiwi majibu i.ekupigwa kwa polisi mwanza, mauaji ya raia arusha, mauaji ya igunga, mauaji arumeru nk.

3. viko wapi vinasa sauti walivyochukua hotelini kwa dr slaa dodoma

3. Kama wanaweza kuzuia mikutano ya chadema kwa kupata taarifa za kiitelijensia basi watumie vyanzo hivyohivyo kupata taarifa za mpango wa kuwadhuru dr. slaa, mnyika na lema.

4. Dr. Slaa na wenzake hawatajipeleka polisi kuhojiwa

5. Kama polisi wanataka basi waende wakawakamate

Kwa kweli hizi point zote ziko hot na kama polisi na nchimbi hawatazitafakari wakaamua kutumia mabavu na udhaifu kujibu basi wanaweza kuiweka serikali na jeshi la polisi pabaya.


Nasema hivi kwa sababu it is naked fact kwamba mambo yasiyokuwa ya msingi sana kama kuuawa kwa mwekezaji, kuawa kwa faru nk tumeona polisi wakichukua hatua kwa haraka sana tofauti na wawekezaji kuua raia, wizi wa nyara za serikali ikiwepo kusafirishwa nje kwa wanyama ikiwepo nembo ya taifa (twiga) nk.

Mchimbi elewa tanzania ya jana si ya leo,...... mwema cheo ni dhamana.....ccm nao wajue mwisho wa ubaya ni aibu.
NAWASILISHA
 
They have two alternatives one to shut up their mouth n continue with their busines coz no one trust them or to do their investigation on their own accord using their untrusted inteligecy
 
Jeshi la polisi linajiabisha lenyewe kutokana na upendeleo linaoufanya katika kushughulikia matatizo ya wananchi. Kwa jeshi la polisi la Tanzania, mwenye nacho daima yupo sawa hata kama akiua, na asiyenacho daima ni mkosaji hata kama hakutenda kosa. Ndivyo linavyofanya kwa raia wa kawaida (maskini) dhidi ya matajiri wa nchi hii, na ndivyo linavyofanya kwa wapinzani dhidi ya CCM.

Asipoangalia Nchimbi anaweza kujikuta amekurupuka kutoa majibu ya kulazimisha Slaa na wenzake wahojiwe. However, hamu yangu kubwa ni kuona namna Slaa atakavyokamatwa kinguvu na kupelekwa polisi kutoa maelezo. Je polisi wataweza kufanya hivyo? Na wasipofanya hivyo kauli ya Nchimbi itakuwa imedharauliwa na au kupuuzwa?
 
Hata mimi katika hili nisingekua na imani... Kesi za kipuuzi fastaaaaa... Lakini yanayo ihusu serikali au mhimili wowote ,hufunikwa funikwa..Aaaagh!!!!.. Aibu yenu MADHAIFU..
Nendeni mkawakamate sasa!!!!!! Tutatapika uozo wenu peupeee.... Tumechoshwa sasa...
 
Ukitafakari vizuri neno UDHAIFU linahusiana vizuri sna na viongoz wote wanaotoa majibu Mepesi kwenye maswali Magumu.
Majority of Tz ministers wameangukia kwny kundi hili kma unafatilia Bunge vzr........... The question z Tuvumilie mok 2015? au tufanyaje........ Tafakar........!!!!!!
 
Slaa kama anatakakuwa rais wa TZ halafu anadharau vyombo vyo ulinzi na usalama, je ikitokea 2015 akashinda inamaana ataanzisha jeshi, polisi na TISS yake? anaweza kufanya hivyo kwa kipindi kifupi? kwa nini anajisahau kama yeye ni states man hivyo awe muungwana na aache kuropoka ropoka? and by the way yeye ni mtu mzima busara anazitumiaga saa ngapi hasa anapotoa matamshi ya hear say tu maana anadai ana watu very reliable ndani ya TISS sasa anaogopa nini? si watamwambia siku na saa ya kuuwawa?

Slaa acha kudharau kazi za askari maana ni hao hao watakupigia saluti ukiwa rais najua huna washauri wazuri maana kila mtu anajaribu kukusifu na kukutukuza kwa kila unachosema yaani hata ukikohoa wanakusifu lakini hawakusaidii kitu, fahamu hata Gaddafi alikua anaabudiwa hivyo hivyo lakini mwishowe sote tuna fahamu kilicho mtokea so acha kuruhusu hizi sifa za kijinga!

I AM OUT!

 
nyantella ...ni lazima ujue slaa akiwa raisi hao polisi na TISS hawana jinsi ni lazima wampigie saluti na kumlinda ...si kwa sababu wao ni polisi tu la bali kwa sababu ni taasisi zilizoanzishwa kikatiba kufanya kazi hiyo...na mamlaka ya urahisi yanakuwa derived from citizen ambao ndo waanzilishi wa katiba.

Swala la kuheshimu hizi taasisi inategemea na weledi wake...sasa hivi kila mtu anatilia shaka vyombo vya usalama has polisi na ndo maana unaona wananchi wanachukua sheria mkononi kwa sababu imani na jeshi la polisi imewatoka...kwa maana moja au nyingine slaa is right
 
Anatufundisha tusilitii jeshi la polisi! I dont think it is fair kwa kiongozi wa siasa kufanya hivyo. Kesho kutwa akipigwa na majambazi au mkewe akiibiwa kama yeye alivyomuiba, asikimbilie polisi kushtaki.

Slaa anacheza mchezo mbaya na hatari sn! huwezi kupambana na dola. Nahisi chadema wana hasira kutokana na kufeli kwa mgomo wa madaktari ambao waliufadhili! wanaibua kasheshe lingine la kutishiwa kuuawa ili jamii iwahurumie.

Watanzania wameamka ss hivi. hawawezi kuburuzwa na akina slaa kiurahisi.
 
Slaa kama anatakakuwa rais wa TZ halafu anadharau vyombo vyo ulinzi na usalama, je ikitokea 2015 akashinda inamaana ataanzisha jeshi, polisi na TISS yake? anaweza kufanya hivyo kwa kipindi kifupi? kwa nini anajisahau kama yeye ni states man hivyo awe muungwana na aache kuropoka ropoka? and by the way yeye ni mtu mzima busara anazitumiaga saa ngapi hasa anapotoa matamshi ya hear say tu maana anadai ana watu very reliable ndani ya TISS sasa anaogopa nini? si watamwambia siku na saa ya kuuwawa? Slaa acha kudharau kazi za askari maana ni hao hao watakupigia saluti ukiwa rais najua huna washauri wazuri maana kila mtu anajaribu kukusifu na kukutukuza kwa kila unachosema yaani hata ukikohoa wanakusifu lakini hawakusaidii kitu, fahamu hata gadafi alikua anaabudiwa hivyo hivyo lakini mwishowe sote tuna fahamu kilicho mtokea so acha kuruhusu hizi sifa za kijinga! I AM OUT!
Tafakari vizuri je wanayokuwa wanamfanyia hawa polisi na Tiss hawajui kuwa kuna siku atakuja kuwa Rais wa
hii nchi? Dr Slaa amatoa sababu za kutokwenda polisi na sababu amezitoa ambazo zinaeleweka kwa kila mwenye
akili timamu hata kama hajasoma.

Hivyo huna sababu ya kumlaumu kwani ni kweli polisi wanayo intelegensia itakayowafanya wapate chanzo na ukweli si lazima wapate kutoka kwa walengwa.

Na suala la kusema kila mtu anamsifu si yeye Dr Slaa anataka watu wamsifu ila Mungu amemfanya watanzania tumkubali na kumwamini hata kama "hamtaki", mamlaka na kibali Mungu alichompa hakuna mwanadamu anaweza badilisha ukweli huu.
 
Slaa kama anatakakuwa rais wa TZ halafu anadharau vyombo vyo ulinzi na usalama, je ikitokea 2015 akashinda inamaana ataanzisha jeshi, polisi na TISS yake? anaweza kufanya hivyo kwa kipindi kifupi? kwa nini anajisahau kama yeye ni states man hivyo awe muungwana na aache kuropoka ropoka? and by the way yeye ni mtu mzima busara anazitumiaga saa ngapi hasa anapotoa matamshi ya hear say tu maana anadai ana watu very reliable ndani ya TISS sasa anaogopa nini? si watamwambia siku na saa ya kuuwawa? Slaa acha kudharau kazi za askari maana ni hao hao watakupigia saluti ukiwa rais najua huna washauri wazuri maana kila mtu anajaribu kukusifu na kukutukuza kwa kila unachosema yaani hata ukikohoa wanakusifu lakini hawakusaidii kitu, fahamu hata gadafi alikua anaabudiwa hivyo hivyo lakini mwishowe sote tuna fahamu kilicho mtokea so acha kuruhusu hizi sifa za kijinga! I AM OUT!

Vyombo vya ulinzi na usalama unavyovitetea vingekuwa vinafanya kazi bila upendeleo hayo yote yasingetokea
 
Slaa kama anatakakuwa rais wa TZ halafu anadharau vyombo vyo ulinzi na usalama, je ikitokea 2015 akashinda inamaana ataanzisha jeshi, polisi na TISS yake? anaweza kufanya hivyo kwa kipindi kifupi? kwa nini anajisahau kama yeye ni states man hivyo awe muungwana na aache kuropoka ropoka? and by the way yeye ni mtu mzima busara anazitumiaga saa ngapi hasa anapotoa matamshi ya hear say tu maana anadai ana watu very reliable ndani ya TISS sasa anaogopa nini? si watamwambia siku na saa ya kuuwawa? Slaa acha kudharau kazi za askari maana ni hao hao watakupigia saluti ukiwa rais najua huna washauri wazuri maana kila mtu anajaribu kukusifu na kukutukuza kwa kila unachosema yaani hata ukikohoa wanakusifu lakini hawakusaidii kitu, fahamu hata gadafi alikua anaabudiwa hivyo hivyo lakini mwishowe sote tuna fahamu kilicho mtokea so acha kuruhusu hizi sifa za kijinga! I AM OUT!

Kwa kutumia akili ya kawaida tu (ya shule ya kata) utafikiria na kusema kuwa hawa watu wa usalama ulioanisha kuwa Slaa akiingia madarakani atawabadilisha? unafikiri hao watu ni wasahabiki wa nani? si wa ccm kama inavyodhaniwa. Ni washabiki wa walioko madarakani, hivyo yeyote atakayekuwa madarakani watajifanya wanam-support ili waweze kuendelea na kibarua chao. Kwa hiyo cha muhimu ni kubadili na kuwa na system ambayo inawajibika bila matatizo tajwa.
 
we gamba acha kupotosha ukweli.Unapoongea kuwa CHADEMA walihusika kuandaa mgomo wa madaktari njoo na data za kuthibitisha madai yako na sio kutuletea visomo vya kanga katika jamvi hili la wa2 makini.Nampongeza Dk. Slaa kwa msimamo wake kwani hakuna ya kesi ya nyani kumpelekea ngedere.
 
Slaa kama anatakakuwa rais wa TZ halafu anadharau vyombo vyo ulinzi na usalama, je ikitokea 2015 akashinda inamaana ataanzisha jeshi, polisi na TISS yake? anaweza kufanya hivyo kwa kipindi kifupi? kwa nini anajisahau kama yeye ni states man hivyo awe muungwana na aache kuropoka ropoka? and by the way yeye ni mtu mzima busara anazitumiaga saa ngapi hasa anapotoa matamshi ya hear say tu maana anadai ana watu very reliable ndani ya TISS sasa anaogopa nini? si watamwambia siku na saa ya kuuwawa? Slaa acha kudharau kazi za askari maana ni hao hao watakupigia saluti ukiwa rais najua huna washauri wazuri maana kila mtu anajaribu kukusifu na kukutukuza kwa kila unachosema yaani hata ukikohoa wanakusifu lakini hawakusaidii kitu, fahamu hata gadafi alikua anaabudiwa hivyo hivyo lakini mwishowe sote tuna fahamu kilicho mtokea so acha kuruhusu hizi sifa za kijinga! I AM OUT!

wewe ndo mjinga kabsa DR slaa ameshatoa hoja zake kua kama polisi wako hao wa magamba wameshindwa kutatua hayo mambo aliyoyasema mpaka sasa unategemea nini







KUISHABIKIA CCM NI UTAAHIRA
 
kazi kuu ya polisi ni kulinda raia na mali zao,je wanatimiza hilo na kwa kiwango gani? ni waamifu wa kiwango cha kuaminiwa?
 
slaa kama anatakakuwa rais wa tz halafu anadharau vyombo vyo ulinzi na usalama, je ikitokea 2015 akashinda inamaana ataanzisha jeshi, polisi na tiss yake? Anaweza kufanya hivyo kwa kipindi kifupi? Kwa nini anajisahau kama yeye ni states man hivyo awe muungwana na aache kuropoka ropoka? And by the way yeye ni mtu mzima busara anazitumiaga saa ngapi hasa anapotoa matamshi ya hear say tu maana anadai ana watu very reliable ndani ya tiss sasa anaogopa nini? Si watamwambia siku na saa ya kuuwawa? Slaa acha kudharau kazi za askari maana ni hao hao watakupigia saluti ukiwa rais najua huna washauri wazuri maana kila mtu anajaribu kukusifu na kukutukuza kwa kila unachosema yaani hata ukikohoa wanakusifu lakini hawakusaidii kitu, fahamu hata gadafi alikua anaabudiwa hivyo hivyo lakini mwishowe sote tuna fahamu kilicho mtokea so acha kuruhusu hizi sifa za kijinga! I am out!

umeongea pumba jamaa...kwa nin akubali kuojiwa na watu wa mabavu na wadharimu ..........umetumwa wewe anzeni kutubu dhambi ccm
 
Slaa kama anatakakuwa rais wa TZ halafu anadharau vyombo vyo ulinzi na usalama, je ikitokea 2015 akashinda inamaana ataanzisha jeshi, polisi na TISS yake? anaweza kufanya hivyo kwa kipindi kifupi? kwa nini anajisahau kama yeye ni states man hivyo awe muungwana na aache kuropoka ropoka? and by the way yeye ni mtu mzima busara anazitumiaga saa ngapi hasa anapotoa matamshi ya hear say tu maana anadai ana watu very reliable ndani ya TISS sasa anaogopa nini? si watamwambia siku na saa ya kuuwawa? Slaa acha kudharau kazi za askari maana ni hao hao watakupigia saluti ukiwa rais najua huna washauri wazuri maana kila mtu anajaribu kukusifu na kukutukuza kwa kila unachosema yaani hata ukikohoa wanakusifu lakini hawakusaidii kitu, fahamu hata gadafi alikua anaabudiwa hivyo hivyo lakini mwishowe sote tuna fahamu kilicho mtokea so acha kuruhusu hizi sifa za kijinga! I AM OUT!


Umedhihirisha frustration ya mambo yanavyowakwamia. Nchi ni yetu wote kwa nini nyie mchukue fito zote?

Ni kweli Dr. Slaa akiingia madaraka kitu cha kwanza ni kufumua mfumo dhaifu wa utendaji, halafu atasimika mfumo wa kiwango cha serikali makini inayowajibika na kuwajibishwa na wananchi wake ukiwemo wewe. Ukibahatika kuwa kwenye mfumo wa serikali hiyo ya DR. utafurahi na kujuta kwa nini ulipoteza muda na mfumo dhaifu wa utawala CCM.
 
[h=2]5 bila za dr slaa, chadema kwa serikali na jeshi la polisi[/h]Dr Slaa amewapa msumari, sio kama hawajui kuwa polisi haiaminiki, bali kauli ya Nchimbi inaashiria dharau ya haja KUBWA kwa wapiga kura. Nchi-mbi na wenzake wanaamini kuwa kutetea uozo wa jeshi la polisi na TISS kunawahakikishia wao usalama wa kudumu, wajinga hawa hawajui kuwa wanajifungia wenyewe kwenye tanuru la moto wa gharika la Peoples Power
 
cheki kesi ya LULU wanajaza adi askari zaidi ya kumi kwa kitoto kidogo tu lakini ishu za muhim haaaa izo hamna....
Kifupi ni lazma uwe na moyo mgumu tena mgumu zaidi ya ule wa shetani kuishabikia serikali hii yetu DHAIFU
 
anatufundisha tusilitii jeshi la polisi! i dont think it is fair kwa kiongozi wa siasa kufanya hivyo. kesho kutwa akipigwa na majambazi au mkewe akiibiwa kama yeye alivyomuiba, asikimbilie polisi kushtaki. slaa anacheza mchezo mbaya na hatari sn! huwezi kupambana na dola. nahisi chadema wana hasira kutokana na kufeli kwa mgomo wa madaktari ambao waliufadhili! wanaibua kasheshe lingine la kutishiwa kuuawa ili jamii iwahurumie. watanzania wameamka ss hivi. hawawezi kuburuzwa na akina slaa kiurahisi.

Akipigwa na majambazi ya ikulu kama yale yalompiga ulimboka? Akiibiwa mke na majambazi kama yale ya CC....
Nitajie kazi ya maana wanayofanya hao polisi. KIA kunakituo cha polisi mbona twiga na ukubwa wake lakini hawakumuona akiingia kwenye ndege, tena ya kijeshi.
 
Wana JF nimefurahia sana majibu ya Dr. Slaa kwa polisi

1. Chadema hawana imani na jeshi ya police

2. Polisi waseme kwa nini mara zote wapinzani wanapolalamika polisi hawapatiwi majibu i.ekupigwa kwa polisi mwanza, mauaji ya raia arusha, mauaji ya igunga, mauaji arumeru nk.

3. viko wapi vinasa sauti walivyochukua hotelini kwa dr slaa dodoma

3. Kama wanaweza kuzuia mikutano ya chadema kwa kupata taarifa za kiitelijensia basi watumie vyanzo hivyohivyo kupata taarifa za mpango wa kuwadhuru dr. slaa, mnyika na lema.

4. Dr. Slaa na wenzake hawatajipeleka polisi kuhojiwa

5. Kama polisi wanataka basi waende wakawakamate

Kwa kweli hizi point zote ziko hot na kama polisi na nchimbi hawatazitafakari wakaamua kutumia mabavu na udhaifu kujibu basi wanaweza kuiweka serikali na jeshi la polisi pabaya.


Nasema hivi kwa sababu it is naked fact kwamba mambo yasiyokuwa ya msingi sana kama kuuawa kwa mwekezaji, kuawa kwa faru nk tumeona polisi wakichukua hatua kwa haraka sana tofauti na wawekezaji kuua raia, wizi wa nyara za serikali ikiwepo kusafirishwa nje kwa wanyama ikiwepo nembo ya taifa (twiga) nk.

Mchimbi elewa tanzania ya jana si ya leo,...... mwema cheo ni dhamana.....ccm nao wajue mwisho wa ubaya ni aibu.
NAWASILISHA

Kupigwa kwa Wabunge Mwanza plz edit
 
Back
Top Bottom