sambestman
Member
- Jan 2, 2012
- 38
- 18
Wana JF nimefurahia sana majibu ya Dr. Slaa kwa polisi
1. Chadema hawana imani na jeshi ya police
2. Polisi waseme kwa nini mara zote wapinzani wanapolalamika polisi hawapatiwi majibu i.ekupigwa kwa polisi mwanza, mauaji ya raia arusha, mauaji ya igunga, mauaji arumeru nk.
3. viko wapi vinasa sauti walivyochukua hotelini kwa dr slaa dodoma
3. Kama wanaweza kuzuia mikutano ya chadema kwa kupata taarifa za kiitelijensia basi watumie vyanzo hivyohivyo kupata taarifa za mpango wa kuwadhuru dr. slaa, mnyika na lema.
4. Dr. Slaa na wenzake hawatajipeleka polisi kuhojiwa
5. Kama polisi wanataka basi waende wakawakamate
Kwa kweli hizi point zote ziko hot na kama polisi na nchimbi hawatazitafakari wakaamua kutumia mabavu na udhaifu kujibu basi wanaweza kuiweka serikali na jeshi la polisi pabaya.
Nasema hivi kwa sababu it is naked fact kwamba mambo yasiyokuwa ya msingi sana kama kuuawa kwa mwekezaji, kuawa kwa faru nk tumeona polisi wakichukua hatua kwa haraka sana tofauti na wawekezaji kuua raia, wizi wa nyara za serikali ikiwepo kusafirishwa nje kwa wanyama ikiwepo nembo ya taifa (twiga) nk.
Mchimbi elewa tanzania ya jana si ya leo,...... mwema cheo ni dhamana.....ccm nao wajue mwisho wa ubaya ni aibu.
NAWASILISHA
1. Chadema hawana imani na jeshi ya police
2. Polisi waseme kwa nini mara zote wapinzani wanapolalamika polisi hawapatiwi majibu i.ekupigwa kwa polisi mwanza, mauaji ya raia arusha, mauaji ya igunga, mauaji arumeru nk.
3. viko wapi vinasa sauti walivyochukua hotelini kwa dr slaa dodoma
3. Kama wanaweza kuzuia mikutano ya chadema kwa kupata taarifa za kiitelijensia basi watumie vyanzo hivyohivyo kupata taarifa za mpango wa kuwadhuru dr. slaa, mnyika na lema.
4. Dr. Slaa na wenzake hawatajipeleka polisi kuhojiwa
5. Kama polisi wanataka basi waende wakawakamate
Kwa kweli hizi point zote ziko hot na kama polisi na nchimbi hawatazitafakari wakaamua kutumia mabavu na udhaifu kujibu basi wanaweza kuiweka serikali na jeshi la polisi pabaya.
Nasema hivi kwa sababu it is naked fact kwamba mambo yasiyokuwa ya msingi sana kama kuuawa kwa mwekezaji, kuawa kwa faru nk tumeona polisi wakichukua hatua kwa haraka sana tofauti na wawekezaji kuua raia, wizi wa nyara za serikali ikiwepo kusafirishwa nje kwa wanyama ikiwepo nembo ya taifa (twiga) nk.
Mchimbi elewa tanzania ya jana si ya leo,...... mwema cheo ni dhamana.....ccm nao wajue mwisho wa ubaya ni aibu.
NAWASILISHA