Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,552
- 21,678
Ok basi ya kwangu ipo vizuri ni A50Sio necessary kwamba simu ikiweza kusoma 4G itaweza kuwa 4g+, unabidi uangalie kwenye box kama inasupport LTE-A au 4G+. Simu za zamani kidogo 2013 kurudi nyuma zilikuwa zina 4G lakini ni Cat 3 100/50 Mbps, kwahiyo zilikuwa hazi support LTE-A au 4G+ lakini simu za siku hivi nyingi zinakuwa na LTE-A Cat 4,6,9, 16,18,20 so zinasupport 4g+
Cat 4 ina support spidi hadi download/upload 150/50 Mbps
Cat 6 300/50 Mbps
Cat 9 450/50 Mbps
Cat 16 1024/150 Mbps
Cat 18 1200/200 Mbps
Cat 20 2048/150 Mbps
Unaweza kuangalia Gsmarena simu yako inasupport Cat kwenye eneo la "Speed" ili ujue kama inaweza support LTE-A au 4G+. Lakini sidhani kama kuna simu ya siku hizi ambayo haisupport LTE-A
4G bandsLTE band 1(2100), 3(1800), 5(850), 7(2600), 8(900), 20(800), 38(2600), 40(2300), 41(2500) LTE band 1(2100), 2(1900), 3(1800), 4(1700/2100), 5(850), 7(2600), 12(700), 13(700), 17(700), 20(800), 26(850), 29(700), 38(2600), 40(2300), 41(2500), 66(1700/2100), 71(600) - Canada
