Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 757
Halotel wao ni 2G na 3G tu!Hallotel walishapitaga huku kitambo
Halotel wao ni 2G na 3G tu!Hallotel walishapitaga huku kitambo
Mkuu nijaalie APN za airtelBonyeza *149*99# then no 5 smartika, then no 2 boresha line, then 2 utaona
Wewe halotel ya wapi unayotumia inayokamata 4GHallotel walishapitaga huku kitambo
Hatimaye Airtel wahamia 4G, hope hawatabadilisha vufurushi vyao.View attachment 1154083
4G ya Airtel ishaanza, iko fast kiasi na wanatoa 4GB bure
wiki moja4gb kwa muda gani?
Hallotel mbona kwangu inasoma 3g mda wote? Au wana simcard special za 4g?Hallotel walishapitaga huku kitambo
Ni GB ngapi? na ni TZS ngapi?
Tigo nasepa nayo iko vzr haswa View attachment 1175469View attachment 1175470
Kiuhalisia hakuna mtandao ambao unasema ukweli kuhus hii download speed utakuta mtandao ukifanya speed test unasoma 49mbs lakini unapodownload kitu inagonga kwenye 6mbps ndiyo imejitahidi hiyo ni voda tena tuache unazi kwa Bongo mi sioni maana ya hii kitu ila tu as long as naona mtandao uko faster basi hayo mengine mbwembwe tu so far kwa 4G ya Airtel nimexperience kitu wame improve kutoka walipotoka mpaka sasa na ukijumlisha wanavifurushi vizuri si haba kwa hatua waliyofika.Speed mbovu, ping mbovu
Ila mkuu speed yao unaionaje?wanaweza kuwaweka Vodacom bench kweli kwa upande wa speed?Mi nina wiki kama tatu hv natumia 4g ya airtel nilishangaa tu ikapanda na kuwa lte(4g)
Toka siku hiyo voda nimeiweka mahabusu