Kuna kozi hapo chuo zamani kilikua kinaitwa Dar tech (nadhani kinaitwa D.I.T) wana fundisha somo la animation in 3D.
true mkuu.Tuwe wapole jama tutoe comments za maana wakujifunza tupo wengi.
Hakuna kuaminiwa - tz ila kuna kujiamini na kubebwa!!! Wenye vipaji wapo vijiweni wana vuta bangi... Na hata hawajui mnayo ongea...na hata mkijua ..mnawaonea wivu au manataka wawe wana siasa...
tuingie tuacheni uoga! Kama serikali haitaki kuweka mazingira sisi tuyatweke kwa nguvu!Nakubaliana nawe kuwa miongoni mwa mambo yanayorudisha nyuma maendeleo ya waTz wengi nis uala hili la kubebana. Ukweli huu upo hata katika medani ya sanaa. Ila hata hivyo suala la wenye vipaji kuwa vijiweni na kuvuta bangi inategemeana sana na ufahamu wa mhusika mwenyewe. Kazi za sanaa kwa kiasi kikubwa hujionesha zenyewe na haihitajiki nguvu katika kuuleza uwezo wa msanii.. ni suala la kuonesha kazi zako.
Tatizo lililopo ni baadhi yetu kusubiri serikali iweke mazingira mazuri ili tufaidike. Haiwezekani. Serikali iko bize na mambo mengine (ya maana na yasiyo ya maana). Serikali ikishindwa kutengeneza njia basi tengeneza mwenyewe. Kwa mfano kwa mazingira ya nchi yetu sijaona vyuo rasmi vinavyofundisha serious 3D (hata ambayo si serious sana)... sasa katika mazingira kama haya kwa sisi ambao hatuna uwezo wa kwenda kusoma nje ya nchi tufe masikini au tusomee uhasibu kwa kuwa hakuna vyuo? Ingekuwa udaktari sawa ni lazima usome sehemu lakini sanaa unaweza kujifunza mwenyewe na mambo yakaenda japo kwa kuhangaika.
Ulimwengu wa 3D na Motion graphics hapa nchini kwetu kwa kiasi kikubwa unamilikiwa na Wahindi (sina tatizo nao katika hili) pamoja na Wakenya kwa wana opportunities kubwa ya vyuo etc kuliko sisi. Je, ukweli huu utufanye wanyonge katika nchi yetu wenyewe? Hapana. Nikumbushie usemi katika tangazo la redio la zamani (miaka ya tisini) la magari ya Mitsubishi Pajero:
"Penye nia pana njia, pasipo na njia pana Pajero."
All free software...
Watched this 3D animation/walkthrough several times, awed at what dedication can achieve...
A small outfit in India
Architectural Visualization using Blender | BlenderNation
mambo?
hatua kwa hatua jiwe kwa jiwe tuna weza.... Limbe - Music - HulkSharetuingie tuacheni uoga! Kama serikali haitaki kuweka mazingira sisi tuyatweke kwa nguvu!