3D Animation kali yaki bongo

mi naomba niwe tofauti na wadau waliopita. To be honest, iyo animation siyo kali kama ilivyoandikwa hapo juu, japo kajitahidi sana lakini haina uhalisia wa kutosha, mfano: motion ya watu na vitu vingine ni slow motion, unless alitaka kusimulia in slow motion, kitu kingine kuna vitu kama mbwa na paka wanaokatiza sikuelewa significance yao kwenye hadithi, japo nna mengi ila nimalizie pale kwa mwalimu baunsa anaemchapa dogo! Duh hapo bro nahisi umezidisha. Otherwise good job. Keep it up! Ni mtazamo wangu tu. Msinimaindi sana waswahili...
 
mkuu bado nakutafuta,namba yangu ni 0782823823,naomba tutafutane
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…