py thon JF-Expert Member Sep 11, 2016 2,471 4,424 Jun 28, 2017 #1 Jamani hii ni haki kweli unatoa 3500 uhudumiwe chakula lakini cha kusikitisha unapewa msosi wa tonge moja Wenye mahoteli huu si uungwana
Jamani hii ni haki kweli unatoa 3500 uhudumiwe chakula lakini cha kusikitisha unapewa msosi wa tonge moja Wenye mahoteli huu si uungwana
jose mjasiriamali JF-Expert Member Sep 17, 2014 1,746 1,531 Jun 28, 2017 #2 Umenikumbusha mkuu, ngoja nitoe kitu cha dona fasta, wapi wajina Joseverest
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,386 Jun 28, 2017 #3 Hahaha kwa hiyo mkuu kwako wewe hilo ni tonge moja, halafu umesahau siku hizi Ugali ni chakula cha Anasa kwa sababu bei ya unga ni nomaa
Hahaha kwa hiyo mkuu kwako wewe hilo ni tonge moja, halafu umesahau siku hizi Ugali ni chakula cha Anasa kwa sababu bei ya unga ni nomaa
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,386 Jun 28, 2017 #4 jose mjasiriamali said: Umenikumbusha mkuu, ngoja nitoe kitu cha dona fasta, wapi wajina Joseverest Click to expand... nipo mkuu
jose mjasiriamali said: Umenikumbusha mkuu, ngoja nitoe kitu cha dona fasta, wapi wajina Joseverest Click to expand... nipo mkuu
Nifah JF-Expert Member Feb 12, 2014 31,531 65,300 Jun 28, 2017 #5 Hahaha ulivyoshika huo ugali kwa hasira? Halafu unaonekana wewe ni wale jamaa kutoka Mara mkuu. Lol
Khalid Ndagowe Member Jun 23, 2017 8 3 Jun 28, 2017 #6 Hahahaha acha zako ww kama unataka kushiba siupike mwenyew
expedition JF-Expert Member Jul 16, 2016 924 2,963 Jun 28, 2017 #8 Na hapo shukru chakula tumezuiwa kuuza nje ya nchi, lasivyo ungeambulia harufu tu kwahiyo 3500 yako.
M Mangi flani hivi JF-Expert Member Jan 2, 2016 2,026 3,100 Jun 28, 2017 #10 Wasukuma wana tabu kweli.....
Threesixteen Himself JF-Expert Member Feb 12, 2013 8,223 7,993 Jun 28, 2017 #11 ! ! Wawe siriaz mda mwingine. Khaa omba wakuongeze mkuu
M Mokoyo JF-Expert Member Mar 2, 2010 15,145 5,553 Jun 28, 2017 #12 Hahahaha nouma sana, agiza na ubwabwa
nessonlegend JF-Expert Member Mar 1, 2013 1,698 1,508 Jun 28, 2017 #13 Hukutakiwa kuushika mkuu, maana hiyo umekubaliana na kiasi hicho, ilitakiwa ulipofunuliwa tu uwaambie ukweli kuwa huwezi shiba na huo ndio uzalendo wa nafsi hapo unajiumiza tu
Hukutakiwa kuushika mkuu, maana hiyo umekubaliana na kiasi hicho, ilitakiwa ulipofunuliwa tu uwaambie ukweli kuwa huwezi shiba na huo ndio uzalendo wa nafsi hapo unajiumiza tu
P Pricillah JF-Expert Member Mar 20, 2016 722 258 Jun 28, 2017 #14 Ha ha haaa, wanaume mna kazi kwakweli.waambie hapo hushibi
KING DUBU JF-Expert Member Mar 7, 2017 919 1,239 Jun 28, 2017 #15 mkuu muite mhudumu muambie kuwa hutoshiba aongeze msosi
simpasa 202 JF-Expert Member Mar 3, 2017 297 202 Jun 28, 2017 #16 Aiseeee,,,, we kunywa maji kwa wingi apo ili ushibe
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,607 52,334 Jun 28, 2017 #17 Ha ha haaa, weka hiyo mboga mfukoni ukapike kwako.
Salmah99 JF-Expert Member Dec 19, 2016 307 517 Jun 28, 2017 #20 Mamndenyi said: Ha ha haaa, weka hiyo mboga mfukoni ukapike kwako. Click to expand... Hahahahaha