Wakuu kwema
Laptop yangu old school HP G5000 imekufa rasmi baada ya kukaa nayo kwa miaka zaidi ya 10
Nina bajeti ya 300k natafuta laptop nzima isio na kipengele
Mimi very light user
Matumizi yangu makubwa ni kusurf na kutumia social media nikirudi home usiku
Kudownload na kuangalia movies kwa laptop
Kuhifadhi data zangu haswa picha movies/series
Naomba muongozo
Cc Chief-Mkwawa
Laptop yangu old school HP G5000 imekufa rasmi baada ya kukaa nayo kwa miaka zaidi ya 10
Nina bajeti ya 300k natafuta laptop nzima isio na kipengele
Mimi very light user
Matumizi yangu makubwa ni kusurf na kutumia social media nikirudi home usiku
Kudownload na kuangalia movies kwa laptop
Kuhifadhi data zangu haswa picha movies/series
Naomba muongozo
Cc Chief-Mkwawa