kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
Wana jamvi Mimi ni msichana mzuri ndani na nje,very attractive,but nimetokea kupendwa na kumpenda mbaba mmoja Mtu mzima,baada ya kuchoshwa na kero za vijana,Huyu baba Ana mke na watoto wa nne wakubwa,tatizo linakuja tu pale anaponiomba tufanye sex yani naogopa namuana Kama baba yangu,namzungusha mpaka leo nothing happened na ni miezi sita sasa tangu tuanze mausiano,nifanyeje na Mimi sitaki kuvunja uhusiano since ananisaidia mambo mengi
huyo ni mme wa mtu,kwa nini unataka kuharibu ndoa ya watu?