GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
hivi hawa waheshimiwa hizi taarifa zao za elimu ziko sawa kweli?, kuna sababu ya TCU kuanza kua na MENO na KUCHA kufanya kazi yake, kama viongozi elimu zao ni za kubambia kweli taifa litaelekea wapi kushindana na wasomi wa nchi zingine kama majirani zetu wa africa mashariki.
nimeshangazwa na mtiririko wa elimu wa mheshimiwa vick kutoka certificate mpaka master's degree!
Aaah, Mh. Kamata bana we mkaliii,
gonga hapa
nimeshangazwa na mtiririko wa elimu wa mheshimiwa vick kutoka certificate mpaka master's degree!
Aaah, Mh. Kamata bana we mkaliii,
gonga hapa