3 certificates + 1 diploma = master's degree

GP

JF-Expert Member
Feb 5, 2009
2,049
160
hivi hawa waheshimiwa hizi taarifa zao za elimu ziko sawa kweli?, kuna sababu ya TCU kuanza kua na MENO na KUCHA kufanya kazi yake, kama viongozi elimu zao ni za kubambia kweli taifa litaelekea wapi kushindana na wasomi wa nchi zingine kama majirani zetu wa africa mashariki.
nimeshangazwa na mtiririko wa elimu wa mheshimiwa vick kutoka certificate mpaka master's degree!
Aaah, Mh. Kamata bana we mkaliii,
gonga hapa
 
Sijaona kosa lake,ila nahisi kuna makosa katika rekodi za elimu yake katika tovuti ya bunge.
Kwa sababu nimeona amefanya research,ukitazama katika upande wa publications. Na research ninachofahamu kwa vyuo vingi Tz ufanywa na wanafunzi waliopo Advance diploma au degree na kuendelea. Sasa kuna hiyo publication ya Research inayoonyesha alifanya Saut. Kwa akili yangu sidhani kama alifanya akiwa katika level ya Certificate
 
Sijaona kosa lake,ila nahisi kuna makosa katika rekodi za elimu yake katika tovuti ya bunge.
Kwa sababu nimeona amefanya research,ukitazama katika upande wa publications. Na research ninachofahamu kwa vyuo vingi Tz ufanywa na wanafunzi waliopo Advance diploma au degree na kuendelea. Sasa kuna hiyo publication ya Research inayoonyesha alifanya Saut. Kwa akili yangu sidhani kama alifanya akiwa katika level ya Certificate
thus why mstari wa kwanza kabisa nimeandika je taarifa hizi ziko sahihi kweli?, waweke taarifa sahihi jama, maana tunataka sasa kwenye mabadiliko ya katiba wabunge wawe na atleast a degree!!
 
vick alianza darasa la kwa kwanza na miaka mitano. kazaliwa 1978 kaanza darasa la kwanza 1983 is it true?
 
hivi hawa waheshimiwa hizi taarifa zao za elimu ziko sawa kweli?, kuna sababu ya TCU kuanza kua na MENO na KUCHA kufanya kazi yake, kama viongozi elimu zao ni za kubambia kweli taifa litaelekea wapi kushindana na wasomi wa nchi zingine kama majirani zetu wa africa mashariki.
nimeshangazwa na mtiririko wa elimu wa mheshimiwa vick kutoka certificate mpaka master's degree!
Aaah, Mh. Kamata bana we mkaliii,
gonga hapa
Hizo Publications mbona zinaonekana ni mbili tu na zimerudiwarudiwa na kuzifanya kuonekana nane,Pili zimekuwaPublish kwenye Journal gani?au wapi? Are they Published in Peer review Journal or not?
 
hivi hawa waheshimiwa hizi taarifa zao za elimu ziko sawa kweli?, kuna sababu ya TCU kuanza kua na MENO na KUCHA kufanya kazi yake, kama viongozi elimu zao ni za kubambia kweli taifa litaelekea wapi kushindana na wasomi wa nchi zingine kama majirani zetu wa africa mashariki.
nimeshangazwa na mtiririko wa elimu wa mheshimiwa vick kutoka certificate mpaka master's degree!
Aaah, Mh. Kamata bana we mkaliii,
gonga hapa

Bora liende. Hucho chuo Uk sidhani kama ni one of the respected/high profile universities in UK. Ni sawa na zinazomwagwa sasa hivi hapa kwetu. sizitaji mnazijua zinaanzishwa kama uyoga!
 
Sijaona kosa lake,ila nahisi kuna makosa katika rekodi za elimu yake katika tovuti ya bunge.
Kwa sababu nimeona amefanya research,ukitazama katika upande wa publications. Na research ninachofahamu kwa vyuo vingi Tz ufanywa na wanafunzi waliopo Advance diploma au degree na kuendelea. Sasa kuna hiyo publication ya Research inayoonyesha alifanya Saut. Kwa akili yangu sidhani kama alifanya akiwa katika level ya Certificate

Lakini mbona ni wengi sana ambao taarifa zao zimekosewaa? Swala hili limepigiwa kelele miaka mingi na wengine kufikia kuandika kitabu ili kuonyesha haya mapungufu. Kutokana na swala hili nyeti kutokushughulikiwa na Bunge ama TCU, then tunachukulia kwamba swala hili ndivyo lilivyowasilishwa kwa usahihi na TCU hawawezi kuwagusa maana hawa ndiyo wakuu wa nchi.
 
Huyu mama alikua SAUT mwanza. Kwenye uchaguzi wa rais 2005 alitoa kibao cha WANAWAKE NA MAENDELEO na kua mtumbuizaji wa kampeni za JK na hivyo hakufanya pepa wala asignments nyingi chuoni. Aliporudi akawa KADISCO, Jk akamlipa fadhila kwa kumtafutia shavu BoT na baadae kumsomesha Uingereza. Sasa sijapata mchanganuo wa Diploma hadi Master's degree ukoje hapo. Ila ukweli ndo huo........

Jk tena... kama Nancy Nkui vile hahahahahahaaaaaaaaaaaaa. Mwili pia biashara! Hii ndio BONGO.
Rais feki waliomchagua kwa mbwembwe na tabiri kibao pia feki!
 
Huyu mama alikua SAUT mwanza. Kwenye uchaguzi wa rais 2005 alitoa kibao cha WANAWAKE NA MAENDELEO na kua mtumbuizaji wa kampeni za JK na hivyo hakufanya pepa wala asignments nyingi chuoni. Aliporudi akawa KADISCO, Jk akamlipa fadhila kwa kumtafutia shavu BoT na baadae kumsomesha Uingereza. Sasa sijapata mchanganuo wa Diploma hadi Master's degree ukoje hapo. Ila ukweli ndo huo........

Jk tena... kama Nancy Nkui vile hahahahahahaaaaaaaaaaaaa. Mwili pia biashara! Hii ndio BONGO.
Rais feki waliomchagua kwa mbwembwe na tabiri kibao pia feki!

Asante mdau ebwana... hizo taarifa nami nilizipata.... nasikia huyu dadaaaa baada ya kumsaidia sana mzee wa totoz (jk)katika kampeni za 2010, kwa maana ya unenguaji majukwaani... kama kawaida ...naamuuuu mzee watotozi akaanza kupata mambo hapo.. then naye akaamua kumlipa fadhila kupitia kodizetu...

Akampeleka uk kwenye hako kachuo ili apate masters nasasa yuko hapo anakula mamilioni yetu hapo kwenye stoo yetu iliyojaa vichakaa ( BOT) KAZI IPO SI YA KITOTO HASA KUONDOA HUU MFUMO...

NADHANI LAZIMA TUUANE KIDOGO ILI KILA MTU AMUOGOPE MWENZIE OTHER WISE USHENZI HUU UTAENDELEA.... UTASIKIA HATA VIMADA WA RIDHI 2.. KESHO WANAPEWA UKUU WA MIKOA... DAAH TZ YA UKWELI ALIKUFA NAYO NYERERE ....AGRRRAAAAAAAAA MPAKA HASIRA MKUU MZALENDO
 
Huyu Mbunge ni muongo sana!Yaani alianza darasa la saba akiwa na miaka 4(kwani alizaliwa Sept 1978 na kuanza darasa la kwanza January 1983)

Kwa sisi tuliosoma zamani at least mtoto ufikishe miaka 7 ndipo ulikuwa unakubaliwa!Analeta system ya sasa ya digital kwenye miaka ya 80?

Nahisi hata huko UK anakosema kasoma pia kadanganya tu!
 
Asante mdau ebwana... hizo taarifa nami nilizipata.... nasikia huyu dadaaaa baada ya kumsaidia sana mzee wa totoz (jk)katika kampeni za 2010, kwa maana ya unenguaji majukwaani... kama kawaida ...naamuuuu mzee watotozi akaanza kupata mambo hapo.. then naye akaamua kumlipa fadhila kupitia kodizetu... akampeleka uk kwenye hako kachuo ili apate masters nasasa yuko hapo anakula mamilioni yetu hapo kwenye stoo yetu iliyojaa vichakaa( BOT) KAZI IPO SI YA KITOTO HASA KUONDOA HUU MFUMO... NADHANI LAZIMA TUUANE KIDOGO ILI KILA MTU AMUOGOPE MWENZIE OTHER WISE USHENZI HUU UTAENDELEA.... UTASIKIA HATA VIMADA WA RIDHI 2.. KESHO WANAPEWA UKUU WA MIKOA... DAAH TZ YA UKWELI ALIKUFA NAYO NYERERE ....AGRRRAAAAAAAAA MPAKA HASIRA MKUU MZALENDO

Hiyo mistari yenye CAPS ndo naipenda!
 
hivi hawa waheshimiwa hizi taarifa zao za elimu ziko sawa kweli?, kuna sababu ya tcu kuanza kua na meno na kucha kufanya kazi yake, kama viongozi elimu zao ni za kubambia kweli taifa litaelekea wapi kushindana na wasomi wa nchi zingine kama majirani zetu wa africa mashariki.
Nimeshangazwa na mtiririko wa elimu wa mheshimiwa vick kutoka certificate mpaka master's degree!
Aaah, mh. Kamata bana we mkaliii,
gonga hapa

mkuu gp, hii ni kali cjapata kuona.
 
hakuna makosa... Mbona mzee slaa... Ni mwendo wa certificate tu! ... Search cv yake humu utaiona
 
hakuna makosa... Mbona mzee slaa... Ni mwendo wa certificate tu! ... Search cv yake humu utaiona

Vita yako na Slaa tunajua imekaa kidini zaidi kuliko unachokiongelea hapa! Mkuu mbona una kazi aisee! Utaondoka duniani hizi dini zitaendelea kuwepo
 
thus why mstari wa kwanza kabisa nimeandika je taarifa hizi ziko sahihi kweli?, waweke taarifa sahihi jama, maana tunataka sasa kwenye mabadiliko ya katiba wabunge wawe na atleast a degree!!

mkuu we huwajui magamba kwa kuchakachua elimu. Kuna yule mheshimiwa wa viti maalum anaitwa shamaa km sikosei. Yule nilisoma nae cheti cha law udsm tawi la lumumba na tukamaliza mwaka 2008. Alifeli na hakupata cheti. Juzi juzi nasoma mwananchi namwona kateuliwa kuwa mjumbe wa tume ya warioba. Kucheki cv yake nimechoka. Eti mwaka aliomaliza cheti ndo kamaliza dip ya sheria halafu 2009 kamaliza llb udsm.
Huwa nafikiria aina ya katiba tutakayoipata kutokana na watu km hawa.
 
Huyu Mbunge ni muongo sana!Yaani alianza darasa la saba akiwa na miaka 4(kwani alizaliwa Sept 1978 na kuanza darasa la kwanza January 1983)

Kwa sisi tuliosoma zamani at least mtoto ufikishe miaka 7 ndipo ulikuwa unakubaliwa!Analeta system ya sasa ya digital kwenye miaka ya 80?

Nahisi hata huko UK anakosema kasoma pia kadanganya tu!

Mi nimechoka kwenye idadi ya publications zake. Kwa haraka haraka utaona kama ziko 8. lakini ukweli ni 2 tu. Nashawishika kusema huenda bunge limekosea kuweka hizi rekodi sawia
 
Back
Top Bottom