Nimeshasikiliza huu wimbo zaidi ya mara 50 ila bado sijapata jibu
jamaa aliimba "LETTER 2 MY UNBORN CHILD" kwa ajili ya nani?
mi nilijaribu kujenga picha kwamba 2pac anaandika barua na kuna mtu anatarajiwa kuja kuisoma, mfano hebu check hapa anaposema
To my unborn child.. in case I don't make it
Just remember daddy loves you hapa utasema anakusudia mwanae ambaye bado hajazaliwa asome hiyo barua baada ya kuzaliwa,
Check huu nao "Will I raise my kids in the right, or the wrong way?" huyu anayeulizwa hapa ni nani?
Dear mama I'm a man now
I wanna make it on my own, not a handout
Make way for a whirlwind prophesized
I wanna go in peace.. when I gotta die
On these cold streets, ain't no love, no mercy, and no friends
In case you never see my face again
To my unborn child
Hebu ona sasa hapa anaonekana kuongea na mama yake ila analizia kwa kusema to my unborn child.(confusion nyingine kwangu)
Kama hiyo haitoshi angalia na hii
Dear Lord can you hear me, tell me what to say
to my unborn seed in, case I pass away
Will my child get to feel love
Or are we all just cursed to be street thugs? Cause bein black hurts
And even worse if you speak first
Livin my life as an Outlaw, what could be worse?
Cause maybe if I tried to change
Who I'm kiddin? I'ma thug 'til I die, I'ma rider mayne
Touch bases, eat lunch at plush places
Regular criminal oasis awaits us
If there's a ghetto for true thugs, I'll see you there
And I'm sorry for not bein there
Just know your daddy was a soldier, me against the world
Bless the boys, and all my little girls
To the Lord I'm eternal, restin in peace
Please take care of all my seeds, to my unborn child
mwanzo wa verse inaonekana anamuuliza Mungu(Dear Lord can you hear me, tell me what to say
to my unborn seed)
katikati anaonekana kuongea na mwanae tena(And I'm sorry for not bein there
Just know your daddy was a soldier)
mwishoni anonekana kuongea na Mungu tena(Please take care of all my seeds, to my unborn child).
verse ya mwisho anasema mwenywe(This letter goes out to.. to the seeds that I might not get to see
cause of this lifestyle)
I will be so happy to get it open coz i know there are some people out the there who gonna make it easier for me.
Thanks.
JAMAA ALIKUWA NA MTAZAMO KAMA WA BOB MARLEY HIVI yani kama dah...! hata sijui niseme vipi?