Vip mkuu karibu Mbeya kama huna usafiri usisahau Helmet maana kuna nondo za kichwa.
Nasikia Mbeya kuna ukumbi mmoja tu wa harusi na sherehe nyingine, hivyo sherehe ni kuanzia Jumatatu hadi Jumatatu,
Nasikia Mbeya kuna ukumbi mmoja tu wa harusi na sherehe nyingine, hivyo sherehe ni kuanzia Jumatatu hadi Jumatatu,
Fursa hizi siyo za kusikia fanya matembezi ujionee uwekeze.
Duhh...kwa hiyo wanachama tunapungua tuu...tunasikitika kukupoteza mwanachama mwenzetu wa chama cha ukapera....Tunakutakia kila LA kheri katika hilo chama LA stress unalohamia...
All the best...
Hongera tunaruhusiwa kuja bila kadi???? Vip ulabu utakuepo
Nasikia Mbeya kuna ukumbi mmoja tu wa harusi na sherehe nyingine, hivyo sherehe ni kuanzia Jumatatu hadi Jumatatu,
Ndo mpango wangu, nataka nijiridhishe kwanza boss.
Kumbi zipo nyingi. il à Mkapa un à hadhi yake......
Ndio maana wengi hukimbilia pâle. Tunamshukuru Mungu kuna mwingine unajengwa wenye hadhi kama Mkapa,na ni mkubwa zaidi
asante usitufanye kama mkuu wakisure na lile bonge la part had wa leo dah ni sheeed
Hahah,bibie unapenda vishughuli njoo basi ya kwangu April
Njoo bibie. Nafasi ipo