Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,694
Mmmmmmh
Vip mkuu karibu Mbeya kama huna usafiri usisahau Helmet maana kuna nondo za kichwa.
Mmmmmmh
Ndiyo Baba_Enock
Vip mkuu karibu Mbeya kama huna usafiri usisahau Helmet maana kuna nondo za kichwa.
Niko Mby na harusi nafanyia hapahapa Mbeya
Bia zipo mkuu au ya kilokole?
Asee me nachapa lapa
Bia zipo mkuu au ya kilokole?
Subiri
Duhh...kwa hiyo wanachama tunapungua tuu...tunasikitika kukupoteza mwanachama mwenzetu wa chama cha ukapera....Tunakutakia kila LA kheri katika hilo chama LA stress unalohamia...
All the best...
Aaaaaaaah.Mbele kidogo ya ukumbi wa Mkapa,kuna bar ya Karembu. Waweza kunywa pale kisha ukaja ukumbin
Duu! Pale Kalembu kuna nyama choma za nguvu nitashindwa kula chakula cha harusi mkuu.
asee me niko mbeya..nitakuja kumchungulia bi harusi
Tarehe 28 Feb, maana yake umechukua 14 + 14 ? (Valentine)