28 February 2015 harusi yangu

28 February 2015 harusi yangu

Kijallo

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
409
Reaction score
61
Ninayo furaha kuwajulisha kuwa tarehe hiyo itakuwa harusi YANGU..
Mkiwa kama wanafamilia wenzangu.nawakaribisheni sana cku hiyo.
Ndoa itafungwa ktk kanisa la NEW TESTAMENT MINISTRY. Na baadaye sherehe kuendelea ktk ukumbi wa MKAPA hapa Mbeya.
Mawasiliano zaidi 0763733553
KARIBUNI SANA
 
aiiii nishachoka mie sioni mwangaza kila siku kiza ntakutafta leo holaaa sjui sasa hivi holaa sjui kesho isharushwa had mkesha wa mwaka mpya hueleweki kama sigara nyota nashindwa kukudefine nambie moja bana
Leo mwisho sikudanganyi tena
 
aiiii nishachoka mie sioni mwangaza kila siku kiza ntakutafta leo holaaa sjui sasa hivi holaa sjui kesho isharushwa had mkesha wa mwaka mpya hueleweki kama sigara nyota nashindwa kukudefine nambie moja bana

Usimwage kuku wengi kwenye mchele basi nakuja pm.
 
Back
Top Bottom