John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,342
Watakuja.......
Wa cc basi. Maana yake wewe unaye mtendaji tayari? Anatenda vizuri lakini au magumashi
Watakuja.......
Watakuja.......
Mzigo gani? Fafanua
Atawezaje kuandika post ikiwa kutongoza tu kwake ni ngumu?Kweli umri wa miaka 27 unashindwa kuandika post vizuri tukakuelewa? au ndio nyege zimehamia kichwani?
kajuaje kama mzigo anauweza wakati hana demu au ndo kweli anatumia sabuni
Hujaelewa nn ? I can explain for him
Do it then
Atawezaje kuandika post ikiwa kutongoza tu kwake ni ngumu?
Kuzinzika?
1. Mwanamke/wanawake anao ila hana anayeweza kusimama mbele za watu na kumtambulisha kuwa ni mtu na mtu wake.
2. Mzigo anabeba fresh tu. (Na ndo sifa yake kubwa inayomfanya aendelee kutembeza bakora kama vile katumwa na kalumanzira . . . this means hata akili yake ni papucci tu na kubeba mzigo hata ajione rijali)
3. Hafikirii kuwa na mtu permanent ila anawaza mwanamke tu wa kumtambulisha mbele za watu ili abadilishe cv yake na aonekane mwenye status nyingine. (probably hako karembo ndo awe anatumia kusafisha jina)
Hahah Mr. Eli ujana maji ya moto.
Si kila mkondo unafaa kufuatwa. Ona sasa kijana mwenzio anajisahau kiasi kwamba utetezi wake mkubwa ni speed yake ya kubeba mzigo. HASARA KABISA!!!
Or else . . . anyooshe maelezo.
Ave, you said it all....
Hiki ndo kizazi chenu cha .COM, bora sisi umri kidogo umeenda...
Huo mzigo anaosema anabeba fresh, nani kampa hizo credits kwamba anaubeba fresh! anaweza sema kaubeba fresh kumbe mwenzio anaona majanga tu..
HAHAHAA . . . hivi kizazi cha dot com ndo kinaanzia age zipi eti??
Alafu hujui kuwa mtu anaweza kuwa umri umesonga ila maisha yake ni full udot.com