27 yrs sina hata demu

27 yrs sina hata demu

mie ni mkubwa kwako i mean ile kitu imeshakuwa used,je nitakufaa? km nakufaa ni pm l:faint2::faint2::faint2::tinfoil3::tinfoil3:
 
inavyoonesha we ni mwoga wa kutongoza na unaogopa madem sasa basi kuwa na moyo wa kuthubutu kutongoza ukisubir mpaka upigwe sound na wasichana fourty itafika bila ya kuwa na mke wala mchumba, jipange kamanda
 
kutongoza kweli kwangu ni kikwazo sanaa,kifupi napenda mitelemko na kama mdada uliyeniambia nilu pm usije ukanitosa sasa
 
jamani eheee,mi labda niruhusu canceling ya wazi sasa maana kuligundua tatizo langu mi siwezi ndo maana nikajitoa kimaso maso kusema ukweli.hvyo yeyote atakayeweza kunioki Sawa sawa na tatizo langu nitatoa ushirikiano wa kujibu kadri niulizavyo...karibuni wadau ila msinitukane mtanitia woga wa kujibu maswali yenyewe
 
Wadau mnisaidie kimawazo mwenzenu maana hadi sasa na li umri linakwisha sina mwanamke atakayeweza kusimama mbele za watu na kujitambulisha yy kuwa na mimi ni mtu wake maana kama mzigo nabeba flesh tu ila sijajua tatizo hli chanzo ninini

.ngoja nikujibu unvyotaka hiyo kitu inaitwa demu haipo kwenye umri, nenda kijiwe cha Kwamtoro atakupa A,B, C zake namna ya kubadiri demu kuwa mchumba na hatimaye mke. vipi hapa unaposema "sina mwanamke atakayeweza kusimama mbele za watu na kujitambulisha yy kuwa na mimi ni mtu wake" vipi unapenda KUTOKEWA ama?
 
Pole sana kwan unaweza ukampata kwa mda wowote tu? muombe mungu atakupa mke wako wakumtambulisha kwenu(?)
 
Back
Top Bottom