27 yrs sina hata demu

27 yrs sina hata demu

Sasa c ujitokeze ufafanue usaidiwe? weka picha tukutadhimini mkuu, umebeba mgizo wa tani ngapi ati?
 
Wadau mnisaidie kimawazo mwenzenu maana hadi sasa na li umri linakwisha sina mwanamke atakayeweza kusimama mbele za watu na kujitambulisha yy kuwa na mimi ni mtu wake maana kama mzigo nabeba flesh tu ila sijajua tatizo hli chanzo ninini


Kwanza maneno yako ni ya kihuni huni tu, huyo mwanamke utampeleka wapi? Nyie ndio mnaishia kupiga wenzenu marisasi na kuishia kujitoa roho wenyewe... Endelea tu na maisha yako, kutokuwa na mwanamke sio dhambi....
 
Kweli umri wa miaka 27 unashindwa kuandika post vizuri tukakuelewa? au ndio nyege zimehamia kichwani?
 
Unaye ila si wa kuweza kujitambulisha mbele ya wTu,ina maana unaye ila humthamin basi mpandishe hadhi asimame mbele ya watu
 
Back
Top Bottom