27 yrs sina hata demu

27 yrs sina hata demu

SOSTENESS J.N

Member
Joined
Feb 13, 2013
Posts
83
Reaction score
19
Wadau mnisaidie kimawazo mwenzenu maana hadi sasa na li umri linakwisha sina mwanamke atakayeweza kusimama mbele za watu na kujitambulisha yy kuwa na mimi ni mtu wake maana kama mzigo nabeba flesh tu ila sijajua tatizo hli chanzo ninini
 
Pole sana........labda tuanzie hapa.......unavyosema mzigo unabeba flesh......unamaanisha nini.......?
 
Mtaani hakuna hapo?
Kazini na Unapo abudu napo hakuna pia?

Kama hakuna kua mpole.. mda utafika wa kua na mtu sahihi
 
Wadau mnisaidie kimawazo mwenzenu maana hadi sasa na li umri linakwisha sina mwanamke atakayeweza kusimama mbele za watu na kujitambulisha yy kuwa na mimi ni mtu wake maana kama mzigo nabeba flesh tu ila sijajua tatizo hli chanzo ninini
Pendelea kula madafu
 
Mtaani hakuna hapo?
Kazini na Unapo abudu napo hakuna pia?

Kama hakuna kua mpole.. mda utafika wa kua na mtu sahihi
Mkuu, nyumba ya Ibada watu hawatongozani bhana
 
Mkuu..! Ibadani watu wanachukuana sana.. tena kama walokole ndio huchukuana wenyewe kwa wenyewe, kama sio mlokole utatumia nguvu nyingi sana kumtia nyavuni ambae mlokole... na experience na hii watu

Mkuu, nyumba ya Ibada watu hawatongozani bhana
 
Wadau mnisaidie kimawazo mwenzenu maana hadi sasa na li umri linakwisha sina mwanamke atakayeweza kusimama mbele za watu na kujitambulisha yy kuwa na mimi ni mtu wake maana kama mzigo nabeba flesh tu ila sijajua tatizo hli chanzo ninini


Wanawake kibao mtaani we endelea kukaa tu na domo lako lilojaa mate, domo zege. Jf siyo sehemu ya kutafutia wanawake.
 
Pole sana mkuu, kwa mawazo yangu ni kwamba pengine umepanga kuwa na mtu wa vigezo unavyotaka wewe hivyo kila ukikutana na binti unaona kama hakufai. Pia background yako km umesoma shule zenye makatazo ya uhusiano wa kimapenzi mf Seminaries, na ukayashika mafunzo hayo inajenga dhana ya kuona wanawake ni watu wa kawaida tu. Nakushauri ussetle down mda ukifika utapata wakukfaa. watu wa type hii there ar 2things kiwa waaminifu kwny ndoa au kutoshkika wakianza mapenzi..
 
poleee,ila usikate tamaa endelea kukaa hivyo hivyo mpaka siku utakayo amua kumtafuta unaemtaka,"life is how you make it" usisubiri ngekewa brother,utakufa na utam wako hivyo hivyo!
 
sijui usingizi. Au ubongo wangu umeshndwa kuelewa hyo post yako. Mkuu nieleweshe vizur
 
dah pole sana labda tuanznie hapa ili tuweze kukushauri .......unahisi kwanini huna ........?
 
Mkuu..! Ibadani watu wanachukuana sana.. tena kama walokole ndio huchukuana wenyewe kwa wenyewe, kama sio mlokole utatumia nguvu nyingi sana kumtia nyavuni ambae mlokole... na experience na hii watu

nakubaliana na wewe kuwa ibadani watu wanachukuana sana na natofautiana na wewe kuwa walokole inakubidi utumie nguvu sana ili kuwapata ...hamna kitu kama icho mlokole akashafika bei kwako ndo kafika huyo hana ujanja tena cha msingi akuelewe tu....
 
  • Thanks
Reactions: LTK
Anaweza kua naogopa kutongoza huyu mkuu!
au kama ameisha wahi kucheza ile michezo ya bafuni ndio kabisaa... Maana ile michezo hutia sana hofu kwenye kutongoza na wakati mwingine inafanya mtu kutojiamini.

dah pole sana labda tuanznie hapa ili tuweze kukushauri .......unahisi kwanini huna ........?
 
Back
Top Bottom