kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 514
Palitolewa waraka kutoka serekalini kwamba kila 25 ya kila mwezi, watumishi wawe wameshalipwa mishahala yao. Lakini kadri miaka inavyo songa mbele, wahusika wamekua wanazembea mpaka watumishi wana pata mishahara mwisho au mwanzoni mwa mwezi unao fwata. Tatizo liko wapi wahusika? Nchi hii ni kinara wa kupuuza maagizo na sheria sana.
Tunaomba vyombo husika warejee kwenye huu waraka. Tatizo liko wapi la mishahara kucheleweshwa?
Tunaomba vyombo husika warejee kwenye huu waraka. Tatizo liko wapi la mishahara kucheleweshwa?