Si ungeweka maelezo yote yanayojitosheleza hapo mtu anasoma anaelewa. Sema wazi hizo hela za tisheti zinakwenda wapi na zitatumikaje. Mbona huwa ni vigumu sana kwa sisi Wabongo kuweka tangazo linalojitosheleza? Ujanja ujanja tu kila kona.Hapana sio fursa ya kupiga hela kuna campain tuaniandaa kwa changizo maalumu litahusu chakula cha asili,ya kagera, muziki wa asili, ya kagera. Na mengineyo katika tukio hili tunaamini tutapata kiasi kifaacho japo kidogo kama mchango wetu, hivyo hizi tshirt ni utangulizi tu wa tukio lifuatalo..kama ukipenda npm# nikutumie wimbo maalumu wa changizo hilo.. Na video yake soon
Ili iweje,akishanunua hiyo tshirt ndio wahanga watapata ahueni?Wanaohitaji tshirt hizi ni pm tafadhari.
Kamatia fursa twenzetu!Haya,weeeeeeeeeee
UjasiriamaliHela utakayopata unaipeleka kwa wahanga au ndo umeona fursa ya kupigia hela?
Kwa pamoja tunaweza nunua tshirt. Hizi ili kwa pamoja tuweze kuchangaia wahanga wa tetemeko la ardhi kageraView attachment 400726View attachment 400727