@@@@

@@@@

I have pig benis.

ulivyowaza nilisemaje?
 
Mama mmoja aliyekuwa na mashetani alikwenda kupata msaada wa kiroho kwa askofu.

Basi mambo yalikuwa hivi:
Askofu: Shetani nakukemea kwa Jina la Yesu utoke na umuache mama huyu huru. Toka uende nyikani na usirudi tena.
Mama: mhhuu huu Yesu wangu.
Askofu: Nakukemea kwa jina la Yesu, Yesu wa nazareti na ukuu wake wote na nguvu zake zote: Utoke;
Mama: Akalegea sana kwani mashetani yalikuwa yamemtoka tayari:
Askofu: Enhee..! Unajisikiaje mama?
Mama: Najisikia kimahaba mahaba ya mapenzi

ah kudadeki me cjaona kchekesho hapo ila kusanifu jina la yesu tu...plz dnt do dat
 
Huo utani unaoingia mpaka kwenye dini na isitoshe unalitaja bure jila la yesu siko kabisa, kuwa na busasa kwakuiondoa post yako
 
Huo utani unaoingia mpaka kwenye dini na isitoshe unalitaja bure jila la yesu siko kabisa, kuwa na busasa kwakuiondoa post yako, evem if you don,t belive on him
 
Eeeeew!,limetoka pepo la fujo limeingia pepo la mahaba.
 
hii ndo jf jokes bana japo zingine zinahusisha imani za kiroho
 
Huo utani unaoingia mpaka kwenye dini na isitoshe unalitaja bure jila la yesu siko kabisa, kuwa na busasa kwakuiondoa post yako
samahani nimeshaifuta
 
Back
Top Bottom