Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 592
- 1,698
Kama CCM isipoweza kutafuta mbinu au njia mpya ya kutawala watu,uwenda miaka 10 mbele kusiwepo tena na chama cha Siasa kinacho itwa chama cha mapinduzi
Zaidi ya 50% ya Watanzania ni vijana waliozaliwa Miaka ya 2000’s,yani kwenye sensa ya mwaka 2002 Watanzania walikuwa ni million 30 lakini leo wanaelekea kufika 70 baada ya miaka kumi mbele watakuwa ni zaidi ya millions 90 na ambao million 75 watakuwa ni vijana wa chini ya umri chini ya miaka 30
Hawa wataingia mtaani wakiwa Nchi imeyumba kiuchumi,hali ya kiusalama itakuwa mbovu,utawala utakuwa unaendeshwa na watu walio kosa weledi na mwishoo kabisa kutakuwa hakuna ajira ya kuwaajiri vijana wote hawa
Hawa vijana nusu yao watakuwa na elimu ya darasani na ata wale watakao kosa elimu bado watakuwa na uelewa kutoka kwenye mitandao ya kijamii…….zile nyimbo za kuwa tulinde amani ya Nchi yetu uwenda zitakuwa zimefika Mwisho kabisa
Kizazi cha sasa kinahitaji kuongozwa kwa akili na sio mabavu au propaganda za AMANI NA HOFU YA kunyang’anywa RASILIMALI kama awamu zingine zilivyo fanya kwa kuwalaghai vijana wale
CCM imekosa mbinu na watu makini wa kuweza kung’amua mambo na kuona kuna jambo baya linakuja
Ata hawa vijana waliopo ccm wengi wao hawaipendi ccm ila wapo pale kwa maslahi binafsi
Mtaani sifa ya ccm imechafuka sana na hii ni anguko kwa ccm
Uwenda mbeleni tukapata uongozi wa kijeshi au CHADEMA wakachukua Nchi kama wakileta katiba mpya ndani ya miaka hii mitano
Zaidi ya 50% ya Watanzania ni vijana waliozaliwa Miaka ya 2000’s,yani kwenye sensa ya mwaka 2002 Watanzania walikuwa ni million 30 lakini leo wanaelekea kufika 70 baada ya miaka kumi mbele watakuwa ni zaidi ya millions 90 na ambao million 75 watakuwa ni vijana wa chini ya umri chini ya miaka 30
Hawa wataingia mtaani wakiwa Nchi imeyumba kiuchumi,hali ya kiusalama itakuwa mbovu,utawala utakuwa unaendeshwa na watu walio kosa weledi na mwishoo kabisa kutakuwa hakuna ajira ya kuwaajiri vijana wote hawa
Hawa vijana nusu yao watakuwa na elimu ya darasani na ata wale watakao kosa elimu bado watakuwa na uelewa kutoka kwenye mitandao ya kijamii…….zile nyimbo za kuwa tulinde amani ya Nchi yetu uwenda zitakuwa zimefika Mwisho kabisa
Kizazi cha sasa kinahitaji kuongozwa kwa akili na sio mabavu au propaganda za AMANI NA HOFU YA kunyang’anywa RASILIMALI kama awamu zingine zilivyo fanya kwa kuwalaghai vijana wale
CCM imekosa mbinu na watu makini wa kuweza kung’amua mambo na kuona kuna jambo baya linakuja
Ata hawa vijana waliopo ccm wengi wao hawaipendi ccm ila wapo pale kwa maslahi binafsi
Mtaani sifa ya ccm imechafuka sana na hii ni anguko kwa ccm
Uwenda mbeleni tukapata uongozi wa kijeshi au CHADEMA wakachukua Nchi kama wakileta katiba mpya ndani ya miaka hii mitano