2026 FIFA World Cup - Special Thread

NAWAAAMBIENI SIE TUMEFURAHI

HAKUNA ALIEFURAHIA ZAIDI KAMA RONALDO

NAAMINI KANYWA WINE SANA HUYU MWAMBA KUAIBIKA

HAHAAAA

GB HAYUPO
MCHEXAJ BORA HAYUPO
HAHAHAHAHA 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂
 
Kumbuka Ronaldo ana same amount ya Champions League ambazo timu fulani imekuwa ikijaribu kuzipata kwa zaidi ya miaka +120
Ronaldo unamshindanisha na timu nzima? Mimi nmesema post MCHEZAJI WAKO unaemkubali mwenye WEDIKAPU, wangu Messi Alisha complete football
 
Messi hakufanya pressing, tracking back, wala marking na hakuwa na mchango wowote kwenye eneo la ulinzi.

Kamaliza game akiwa na idadi ya magoli 0 assist alizotoa 0 na dribbles alizokamilisha 0

Kocha wa Argentina Scaloni alitakiwa kumuanzisha mchezaji mwenye damu changa ambaye ana njaa ya mafanikio ambaye angekuwa na madhara makubwa kama Lautaro Martinez.

Badala yake kaenda kumuanzisha mzee wa miaka 39, aliyechoka, mbinafsi the glory hunting grandpa.

Messi alikuwa anawasaidia Spain kuwakaba Argentina and that was the biggest reason they failed to beat Spain.

The only explanation? Scaloni was too scared to bench Messi.
 
Sawa
 
Ronaldo unamshindanisha na timu nzima? Mimi nmesema post MCHEZAJI WAKO unaemkubali mwenye WEDIKAPU, wangu Messi Alisha complete football
Kama amemaliza kila kitu, unaweza kuelezea kwanini jana alikuwa analia?
 
Rodri kalamba zote huyu mwamba nimemnyooshea mikono.

Mchezaji bora wa
World cup
Uefa Euro
Uefa nations league
Uefa champions league

Mashindano yote haya waliochukua Rodri alikuwa mchezaji bora hatari
Atachukua kwa mara nyingine Ballon d'Or.
Subiri tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…