Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 5,457
- 13,833
45? Atafika hana shati mkuu2030 anarudi akiwa na miaka 45 lazima abebe
Muda wote Argentina wamekaa golini kwao wanatafuta nafasi ya kufanya counter attack na wasipateFainali ilikuwa France vs Spain , sijawahi ona fainali mbovu kama hii
..ww ndio binti msumi wa uzi huuThe world will never forget how Cucurella pocketed Messi in the World Cup final View attachment 3633080
🤣🤣 Sasa si lazima amlipe Messi au45? Atafika hana shati mkuu
Haters wa Mbuzi Leo mtapata usingizi...😃😃😃Hatimaye hater la Messi la muda mrefu leo una tafrija😃
Potelea mbali..ww ndio binti msumi wa uzi huu
Imeniuma si kidogo , ila ilikua iwe hivyo aisee Spain walikua wameandikiwaLimeshavuka 😂
Hata 2010 wachezaji wengi walitoka Barca, ubora wa Spain unategemea sana BarcelonaIla Barcelona ina mchango mkubwa sana juu ya hatma ya Timu ya Spain. Vijana ni talented vibaya mno, halafu umri ni mdogo kabisa.
Kwa namna wanavyocheza pamoja na wastani wa umri wao, wanaweza kudominate kwa muda mrefu sana soka la ulimwengu
Kwani kasema anamdai? Messi yeye kasamehe hataki kulipwa. Penaldo yeye astaafu kwa amani kabisa🤣🤣 Sasa si lazima amlipe Messi au