2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mbio za Janjajanja huishia uliongoni
Kweli hakuna janjajanja zisizo na ncha😂😂😂😹😹😹😹😹😹
Timu limebebwa bebwa huko nyuma

Ona halinapiga on target hata moja 120minutes

Wote tunaona final ilivyo unachezwa upande mmoja

Kwa sababu tu kuna litimu lilipitapita kijanja
Halikustahili kufika final
 
Argentina hakuweza kukutana na timu ngumu.

Timu yao ni ya kawaida tu.

England ni ujinga wao tu kuwaza kushikilia bomba mapema.
Messi kufika fainali ilikuwa ni business project.

Ndio maana akawekewa wapinzani dhaifu ambao nao walikuwa wanaumizwa na maamuzi ya hovyo.

Imagine Egypt alicheza faulo 11 na alipewa kadi 5 lakini ArgentFIFA walicheza faulo 14 na hawakuwa na kadi yeyote.
 
Argentina kwenye kukaba wana gape la watu wawili la Enzo aliyelimwa red na la Messi maana sioni kukaba
 
Kwamba mashuti zaidi ya 20 na goli moja na save kama zote za Emiliano Spain hawafanyi kitu?

Toka nizaliwe nimeangalia fainali zote toka 1998 world cup hakuna fainali one sided kushinda hii, inafanana na PSG na inter ucl
Spain wangekuwa kwenye form mpira ungeisha dakika 90. Fainali mbovu sana hii, unacheza na timu haina on target wala off target dakika 100+ na wala haijapaki basi unaenda unampa kipa mipira tu. Kila ukienda kushambulia unajivuta kama mlenda, mpaka mrundikane golini mpige chenga na mbwembwe nyingi, mpige na mashuti dhaifu. Mpira gani huo.

Unaona goli lilivyotokea ilikuwa ni mchomo mkali. Sasa muda wote walikuwa wanashindwa nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…