joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 19,399
- 41,520
Mi bado nipo na ArgentinaBado dk 6 Argentina iamke..
Watoto si wameshindwa
Naona Ngoma ngumu kwa Argentina hii, hawana attempt hata 1 goliniHapa kimasihala masihala Argentina wakipata hata half chance na hasa ikimkuta mtu mfupi mechi inaweza ikaishia hapo.
Ila wanajitahidi kiasi!!!Balaa game ngumu kwao
Sawa hawana attempts, ila dk hizi wakipata hata half chance shughuli inaweza kuisha. Spain wanapata chance ila naona kama wanaleta masihala sometimes.Naona Ngoma ngumu kwa Argentina hii, hawana attempt hata 1 golini
HapanaArgentina wamepiga shot on target hata moja?
Kwa leo siyo rahisi mkuu.Ngoja hydration break iishe Argentina mida yao ifike. Spain wanacheza kama wamefungwa jiwe kiunoni, mpira mwingi strikes za maana lango la adui hamna. Wanapaka sana rangi.