Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,914
- 6,915
Aaah refa kaongeza dk 9 ndio maana😆😆😆😆Tunabebwa sana, ona sasa hizi penati mbili zimeturudisha mchezoni😂😂
Yooh !! 🤣🤣Msiwe mnaangalia Sofa ScoreJanjajanja zimefika mwisho
Bado mtoto wetu Jude Bellingham hajawaweka kingine
IngekuwaHii mechi ingekuwa ufaransa tungeimaliza mapema sana
Hapana hatuwezi kufuta kauli maana kucheza na Messi sio kipimo labda ingekuwa timu nyingine isiyo na MessiWale ambao huwa tunalaumu timu za Africa zinakata moto mida ya jioni leo inabidi tufute kauli. 🤣🤣
Nao watachezea
Eti eeeh!Hapana hatuwezi kufuta kauli maana kucheza na Messi sio kipimo labda ingekuwa timu nyingine isiyo na Messi
Wanaloga sana