Unayo akili kubwa😁Hili kombe lipo kwa ajili ya kumbeba Messi na Argentina
Jamaa linabebwa nje nje na mipenati ya mchongo ambayo anakosa.
eti kizembe...🙄🙄Toka kombe limeanza
Mimi timu yangu Ilikuwa France tu, niliweka Imani sana kwao maana last time tuliteleza tu kidogo
Wapuuzi hawa wanatoka kizembe namna hiyo
Duh hii risala hatari, na leo tunawapigia ingetra yenu, kombe hata likienda spain yote sana ni familìa moja hahaaaa, ila first first ni ARGHiyo picha sijaiweka kwa bahati mbaya, umeifanya kuwa ajenda kwasababu hujasoma post ambazo nimekujibu.
Huo mtiririko wa matukio wenye aim ya kibiashara na ushabiki ni upi ambao tuki connect na hilo tukio tunapata conclusion ya FIFA kumbeba Olise?
Mfano mimi nikiweka hoja ya Messi na Argentina kubebwa na FIFA naweza ku pointi mapenzi ya raisi wa FIFA kwa Messi.
Infantino alisema anatamani Messi abebe kombe la dunia. (Hii ni average point)
Baada ya kusema kauli hiyo, Argentina alipewa penati 5. Ni idadi ambayo mpaka sasa inashikiliwa na timu moja tu ya Argentina.
Mechi dhidi ya Netherlands Messi aliwakejeli bench la ufundi la Netherlands na hakupewa kadi ya njano, hapa sijahesabia ile handball kabisa (hii nayo ni average point)
Siku 9 kabla ya fainali FIFA na viongozi wa AFA walisaini mkataba wa mabilioni ya fedha yakitumwa kwenye account ambayo sio ya shirikisho la AFA (hii ni big point)
2026 Argentina inapangwa kwenye kundi dhaifu, bado mechi zake zinajaa controversial yenye matukio mengi yanayoibeba Argentina. (Average point)
Mechi dhidi ya Cape Verde, Infantino anaweka wazi mapenzi yake kuwa ameteseka pamoja na mashabiki wenzake wa Argentina. (big point)
Mechi dhidi ya Egypt, bao mbili za kutangulia zinamfanya Infantino akasirike jukwaani. (Average point)
Argentina anafanya comeback na kupata goli la ushindi, Claudio Tapia na Infantino wana hug kwa furaha. (Big point)
Infantino anagundua amefanya mistake anaamua kushika bendera ya Egypt kwenye mechi ya baadaye ili kuua soo kupitia tukio lake alilolionesha kwenye mechi ya Egypt la kukumbatiana na Claudio Tapia baada ya kushindwa kuhimili hisia. (Big point)
Hizi ndio baadhi ya pattern ambazo zinam link FIFA, Infantino kwenye upendeleo wa wazi amaofanyiwa Messi na Argentina.
Wewe hauwezi kuniwekea hii pattern kwa Olise hata kidogo.
Na hiyo nimeifanya tu briefly ila kuna mengi sana nikianza kuandika hapa itachukua muda pengine kuyamaliza.
Mmehamia tena kwa england 😄😄😄 mnawafuata wazungu weusi tu, ila bongo bwanaTuwakumbushe tu
Ni vyema France katolewa
Kesho messi anatolewa na machela baada kupigwa kikumbo na ezra
View attachment 3629445
It's coming homeMmehamia tena kwa england 😄😄😄 mnawafuata wazungu weusi tu, ila bongo bwana
It's coming home
Maumivu yakizidi,pata ushauri wa Dakitari.Hili kombe lipo kwa ajili ya kumbeba Messi na Argentina
Jamaa linabebwa nje nje na mipenati ya mchongo ambayo anakosa.
Vamos ARGSpain didn't just beat France,
They outclassed them,
Vamos La Roja.
Leo akitolewa mkoloni,nafsi yangu itakua nyeupee coz Kombe liende kwa La Roja au kwa La Albiceleste.Vamos ARG
Vamos LA ROJA
Kaa tulia na tazama tutawashangazaPoleni sana min 😄 kilichowakuta ndugu zao 1986 ndicho watakachokutana nacho, kwetu macho
Maumivu yakizidi,pata ushauri wa Dakitari.
Ronaldo fanboys are so delusional.Mashabiki wa ronaldo hawa, hawana pa kukimbilia tena, labda england kidogo ina wazungu weusi wenzie atajifichia huko 😄 eti Saint Anne
Duh!England anaenda kubeba hii world cup baada ya miaka 60 toka 1966 sasa 2026 anachukua world cup ya pili ....Viva England 🔥🔥🔥
Mbappe yupo uwanjani wanatoka na sifurieti kizembe...🙄🙄
Hata last time waliwabeba hivyohivyoMaumivu yakizidi,pata ushauri wa Dakitari.
Wapinzani wa ArgentinaKwanza Argentina hakupangwa kundi dhaifu bali juhudi zake za kushika nafasi ya kwanza zimemfanya awakwepe vigogo. Hiyo timu unayo ishabikia wewe Ureno, ilipangwa na timu zipi tuanze kwenye Rank za FIFA, tusiongee kwa hisia? Maana hata Ureno angeshika nafasi ya kwanza,basi robo ndio angekutana na timu ngumu ambayo ni Argentina, sasa yeye mwenye kashika nafasi ya pili sasa tutamsaidiaje wakati kazembea mwenyewe.Halafu kwenye michuano hii, timu gani ilipagwa kwenye kundi gumu? Utasema trend najua nyie timu CR7,okay Colombia kashika nafasi ya kwanza, kakutana na Ghana, then akatolewa na Uswizi, Uswizi akakutana na Argentina akapigwa.Okay kwa Trend hii Ureno kama angeshika nafasi ya kwanza si alikuwa anajipigia, ila yy mwenyewe kazingua.
| Hatua | Mpinzani | FIFA Ranking | |
|---|---|---|---|
| Kundi J | Algeria | 28 | |
| Kundi J | Austria | 24 | |
| Kundi J | Jordan | 63 | |
| Hatua ya 32 | Cape Verde | 67 | |
| Hatua ya 16 | Misri | 29 | |
| Robo Fainali | Uswisi | 19 |
hukuona feeder wao alizidiwa? na wakashindwa kabisa kubadilisha mbinu zaoMbappe yupo uwanjani wanatoka na sifuri
Pumbavu sana Mbappe
Alienda kufanya nini sasa?
😁😁😁kweliSpain na Argentina nyie mtacheza kumtafuta mshindi wa tatu