2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kwa hapo walipendelewa? So leo Ufaransa alipendelewa.....

Hiyo picha ya tatu, ilikuwa mechi na nani?
Anza kama ulivyoanza na taaluma yako ya urefa.

Hiyo hapo pichani una amua nini?

Na hapo kumbuka kuna favor za Messi na kuna favor za timu.

Faulo 14 hakuna kadi, mwenye faulo 11 ana kadi 5

Kuna vitu hata ukipinga unaweza kujiona mjinga.
 
Anza kama ulivyoanza na taaluma yako ya urefa.

Hiyo hapo pichani una amua nini?

Na hapo kumbuka kuna favor za Messi na kuna favor za timu.

Faulo 14 hakuna kadi, mwenye faulo 11 ana kadi 5

Kuna vitu hata ukipinga unaweza kujiona mjinga.
So leo kulikuwa na favor kwa Olise?(Natumia mtizamo wako)

Nimekuuliza Argentina alicheza na Uholanzi 2026,maana picha ya tatu ni beki ya Uholanzi Ake na hapo ilikuwa kwenye boksi la Uholanzi bila shaka, sasa wewe ulitakaje kwenye hiyo picha refa afanyaje.
 
Wanaweza kulegezeana

Spain na Argentina wakikutana ni mechi ya kindugu.

Hata humu ndani watashindwa waende na na nani ila kwasababu Dwarf ndio waliyeanza naye tangu 2022 nadhani huyo ndio atakuwa priority.
Hahaha
Hakuna cha undugu kwenye mchuano...
Mi ni team spain πŸ‡ͺπŸ‡Έ πŸ’™
Humu team mbape wataenda na messi
 
Ndio ni favor kwani uongo?

Sehemu ya kadi na kadi haitolewi, tafsiri yake ni nini?

Kwamba sio kadi?

Mimi naweza kusema hivyo na nilisema hata Ronaldo alipopewa MOTM nilipinga.

Wewe huwezi kufanya hivyo kwa Messi kwasababu tayari yule kwako ni Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…