Nitaangalia atashindaje.Haya bwana safari njema je, Argentina akishinda utakimbia humu ?
Afungwe na England?France ata mshindi wa 3 anaweza asipate
Wakati huo beberu wa kireno hata fainali ya world cup hajawahi kucheza, baba yake yamal ni mdogo kiumri kwa beberu wa kireno.Yamal kabakiza Uefa na ballon d'or
Euro &WC tayari
Dogo anaweza kumaliza boli katika umri mdogo sana.
Kakichafua sana.Ila tuache utani Rodri ile position ni best sana, analeta utulivu na stability ya hali ya juu ππ»
Acha basiKatatoka tu japo kanalingia Dingi yake
Ila kina Kane na Bellingham watakafurusha.
πππKatatoka tu japo kanalingia Dingi yake
Ila kina Kane na Bellingham watakafurusha.
Sijaona akipendelewa ndio maana nimekuuliza wapi maana mechi zake nimeziona.
Naomba performance ya Rodri leo kuna kitu nataka kuona maana hizi tuzo saizi zimekuwa za kishambengaPicha ya sikuView attachment 3629399
Inawezekana wakawa hawa kama wakimaliza mchezo kipindi cha kwanza kwa kupata mabao ya mapemaDuh!....noma sana aisee..
Kwa hiyo bingwa ni hawa vijana kutoka Spain au ?..
Na messiππAfungwe na England?
Usimalize manenoInawezekana wakawa hawa kama wakimaliza mchezo kipindi cha kwanza kwa kupata mabao ya mapema
Wanaweza kulegezeanaπππ
Ngoja nione km ataeaweza watt wa elf 2 na 5 wa Spain damu changa
Acha Basi mkuu duuh!Picha ya siku, inaondoa harara, chunusi na muwashoView attachment 3629406
Haiwezekani timu iliyofika fainali kucheza na timu iliyotolewaNa messiππ
Kwa hapo walipendelewa? So leo Ufaransa alipendelewa.....
HatoboiWanaweza kulegezeana
Spain na Argentina wakikutana ni mechi ya kindugu.
Hata humu ndani watashindwa waende na na nani ila kwasababu Dwarf ndio waliyeanza naye tangu 2022 nadhani huyo ndio atakuwa priority.
Mkuu una hali ngumu sanaWanaweza kulegezeana
Spain na Argentina wakikutana ni mechi ya kindugu.
Hata humu ndani watashindwa waende na na nani ila kwasababu Dwarf ndio waliyeanza naye tangu 2022 nadhani huyo ndio atakuwa priority.