2026 FIFA World Cup - Special Thread

Unavyosema hizo, ziko wapi?

Wapi umeziweka utuoneshe?

Sasa kama ni tukio ambalo hadi watu waliokuwa wanatazama mpira kwenye runinga ambao una replay bado watu hao uliodai ni wengi walihitaji kupitia review ndio waje wahitimishe, kwanini refa hakuhitaji review ya VAR kwenye tukio hili lililosumbua watu kupata hitimisho?
 
refa Huwa anachezesha mpira Kwa kusikilizwa au kufuata opinion za watu wanje !? So huyo atakuwa ni refa au mwehu !?

Evidence nimezileta nyingi tu pitia comment utajuta Kuna screenshot nimezipost kibao watu wakipinga kuwa ile ya mo- Salah sio faulo na wao wanasema awali walikuwa na mtazamo kinzazni kama wewe lakini baada ya kupitia video clip vyema in a slow motion wameona kwamba Salah alijiangusha pitia kwenye thread utaziona nyingi tu zipo nilizipost kwaajili ya watu type Yako
 
Wakati unajiuliza hilo swali, namimi nikawa najiuliza.

Hivi aliwezaje kuchukua hata ballon d'or 5, kuifikisha Portugal kwenye kufuzu kombe la dunia mara 6 mfululizo under this corruption?

Kawezaje kupata hata hayo mafanikio kwa zero cheating, zero help, zero favours, zero rigged awards, zero rigged tournaments.

Yeah that's why tunamuita GOAT because he earned, not given
 
Mkuu refa anaendeshwa na kanuni.

Mimi sizungumzii maoni, nazungumzia utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa bodi ya sheria IFAB (- International Football Association Board)

Nachokielezea mimi kipo kwenye kanuni ya 5 ya the law of referee kwenye kifungu namba 4 cha Video assistant referee (VAR) kuna section inayoitwa "serious missed incident" (mwamuzi kupiwa na tukio kubwa)

Ambapo matukio hayo yameorodheshwa kuwa ni
  1. goal/no goal
  2. penalty/no penalty
  3. red card (including a clearly incorrect second caution)
  4. mistaken identity when the referee cautions or sends off the wrong player
  5. clearly incorrectly awarded corner kick if the decision can be changed immediately and without delaying the restart (competition option)
Kwenye namba 2 inagusa tukio la Mo Salah, kwa hiyo ilikuwa ni swala la kanuni sio maoni. Ila kwakua ilikuwa scripted ndio maana refa hakufanya hivyo.
 
Ila mkuu pro Argentina na FIFA wanapenda Sana mjadala uende kwenye foul ya Salah ili Kuhamisha magoli,

Toka michuano hii ianze Argentina wanacheza rafu sio Tu rafu za kawaida Bali rafu ambazo ni Tata timu nyengine wanapewa yellow ama red na Argentina hawapewi, kuanzia Rafu ya Messi mwenyewe, uje Jambazi kuu Romero na wengine.

Huyo Romero ana two foot foul ambayo ni possible red lakini hata yellow hajapewa. Alvarez MTU karuka juu akaenda kumkumba popote pale hio ni Kadi,

Salah alimpokonya MTU mpira anaenda kufunga firimbi ikapigwa, kikawaida alitakiwa apewe advantage afunge Kwanza then Var iangalie ila refa hapo hapo kapiga firimbi kuua move against Sheria.

Hii video ya compilation ya foul zote Argentina walizocheza na maamuzi Tata angalia mwenyewe halafu niambie kama ni Sawa
Your browser is not able to display this video.
 
We jamaa ni mnazi na analysis zako za uongo uongo
Kipindi cha Fergie hakuna timu ilikuwa inalalamikiwa kuwa inabebwa England kama Man U (ambayo wewe ni mshabiki) Rafael Benitez kipindi yupo Liverpool alilalamika sana hata Mourinho kipindi yupo Chelsea
Hiyo Madrid ya kina Ronaldo ililalamikiwa sana kuwa inabebwa
Huyo Ronaldo Ballon D'or ya 2013 upigwaji wa kura ulisogezwa mbele kwa wiki mbili ili kusubiri mechi ya Portugal na Sweden ambayo Ronaldo alipiga goli 3 na kushinda Ballon D'or mbele ya Ribbery aliyeingoza Bayern kushinda treble.
Nchi za Kuwait na Albania walilalamika kuwa kura za makocha wao zilirekodiwa kinyume na walivyopiga
Juzi hapo mechi ya Ireland Ronaldo alipewa red card na kufungiwa mechi tatu na ilikuwa akose mbili za kwanza za makundi lakini Fifa ikasogeza mechi mbili kwa mwaka mmoja na kumfanya akose tu mechi moja ya kirafiki na hivyo kucheza mechi zote za makundi kombe la dunia
Ukipunguza unazi na ushabiki maandazi utagundua karibu kila mechi inayochezwa kuna upande huwa unalalamika tu.
Hata mchezaji akifanya kosa na kupewa red card au kusababisha penati huwa hakubali
 
We jamaa unateseka sana, If you can't beat them join them. Jiunge tu na team Messi furaha yako irudi
That's the same energy, CCM has been thinking towards opposition parties.

Should they join them after big s loss in 2025 election where Samia announced the winner with 98% of the votes?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…