Sub yake imekosa kumalizia mwisho. Sijaielewa bado.Haisen Hasan beki matata na muanzisha mashambulizi yaliyozaa magoli yote ya Misri amekwenda bench!
Kombe la dunia halina mwenyewe bwasheee leo ata bia haikai kichwani
Ni nadra sana timu za Africa kutamba mbele ya Argentina kwenye World Cup tangu Cameroon ya 1990..Siwezi panic kwa vitu vidogo mkuu ila ukiidharau Africa na ndipo unapotokea huna akili mkuu