2026 FIFA World Cup - Special Thread

Ata ulaya vipaji vipo lakini wanatipita kuwa wana infrastruture ya kuendeleza hivyo vipaji.
Kukosa madawa sii ungese wetu wenye wakujitakia
 
Ata ulaya vipaji vipo lakini wanatipita kuwa wana infrastruture ya kuendeleza hivyo vipaji.
Kukosa madawa sii ungese wetu wenye wakujitakia
Sema vipaji vingi Africa vimeuliwa kutokana na tu mtu kazaliwa bara la giza.
Kuna madogo Huwa nawaza wangezaliwa ulaya huko kwenye ma academy na resources za kutosha sijui ingekuaje maana walikua wanapiga ball haswa .
Africa bara la giza !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…