Uhakika mkuuSafi sasa tuone na gharama kabisa ya kikosi...
KabisaHawa wanajitekenya na kucheka
Ndoto za mchana hizo, labda Wakina messi wasicheze kabisa.
Endapo ikitokea Argentina, Morocco au spain zikatoka, basi kuna uwezekano wa Portugal au ufaransa wakachukua.
Ila
Hamn kitu humoNdoto za mchana hizo, labda Wakina messi wasicheze kabisa.
Endapo ikitokea Argentina, Morocco au spain zikatoka, basi kuna uwezekano wa Portugal au ufaransa wakachukua.
Ila Japan tusiwachukulie poa