Sasa ninja hapo unakuwa umetoa mfano gani sasa?Na vipi ukiangalia USMNT wakikutana na Saudia mziki unauonaje?
Unaelewa kwanini Dwarf ali retire mara 2 kuchezea timu ya Taifa?Afu anamsingizia Bruno eti hampi pasi
Kwahiyo Scars Saudia wamewaachia spain wafunge kisa wao ni mashabiki wa Messi/Argentina??Ndio hapo najiuliza mambo ya mpira wameanza lini.
Na by the way Qatar na Saud Arabia ni shabiki namba moja wa Argentina kuliko Argentina wenyewe.
Na kama ilivyo ada, aliyekuwa shabiki wa Argentina ni lazima awe shabiki wa Spain.
So do your maths
Bwana wee afunge magoli Ronaldo acheni stori za porini..aachw usenge akaze matako afunge..hatutaki huruma huku WC.Mimi naenda kwa details
Hata hao wanaoniita hater wanelewa naongea kwa hoja ila ni ngumu ku admit kwasababu hili swala haliamuliwi kwa facts ni kwa mahaba.
Haiwezi kutokea kumshawishi Pessi fan akubaliane na hizi facts ila hata hivyo hatuwezi kuacha kujadili ukweli tukidhani kwamba ukweli huo unapaswa kuongelewa pale tu unapotaka kumbadilisha mtu huyo msimamo wake.
Mwamba unatumiaUnaelewa kwanini Dwarf ali retire mara 2 kuchezea timu ya Taifa?
Saudia hawana uwezo wa kumfunga Spain.Kwahiyo Scars Saudia wamewaachia spain wafunge kisa wao ni mashabiki wa Messi/Argentina??
Tatizo haujikiti kwenye hoja na kufanya huu mjadala uonekane kama malumbano ya watu wawili wanaoshindana ku type haraka.Mwamba unatumia
Manguvu mengi sana kumpinga Mfalme Messi.... Mpaka world cup inaishi sio tu vidonda vya tumbo bali utakuwa na vidonda mwili nzima....
Watu milioni 117 wanasema Pessi ni GoatMwambieni Kaka Yenu Ronaldo tunataka magoli akaze kiuno..asitake huruma ya Dunia..Anduche atawatesa sana kesho tena saa mbili tu.
Unakuwaje Mchezaji mkubwa unashindwa kufunga wakata viuno wa Congo..pumbavu kabisa..
Unaemshauri afunge magoli ana magoli 973. Ulikuwa unalijua hilo?Bwana wee afunge magoli Ronaldo acheni stori za porini..aachw usenge akaze matako afunge..hatutaki huruma huku WC.
Hii sasa ndio mechiSasa ni Belgium vs Iran
🔥🔥 ngoja tuoneNjoo tuwacheki Ubelgiji vs Iran.
I stand with Iran 🇮🇷 👏