Hatari sii mchezoZishabikii timu za ngozi nyeusi tena , hawajitambua kabisa Bora niende na Morocco tu 🚮 🚮
Ujinga ule ule wa SenegalMasenge haya majitu meusi
Hivi Africa shida ni nini? mbona kama ni tuna mikosi?Zishabikii timu za ngozi nyeusi tena , hawajitambua kabisa Bora niende na Morocco tu 🚮 🚮
Acha kabjsa.Pole sana baba Abdul..
Acha kbs mtaalmUjinga ule ule wa Senegal
Mtu unalipiwa ndege ,hotel 5 star nzuri... Unalala na kuamka unawaz mpira unaendesha maisha kwa mpira...Mpira una ukatiri mwingi mbn roho ina ninyongorota ivi utazani nilikuwemo kwny first eleven
Magoli 3 na asisti 2Undav ana goal ngapi?
Aisee nililewa sana!🙂uran yuko lindo leo au kalala
Hata hivyo mchambuzi wewe hauna point timu kikosi kinachoitwa 26. Sasa hapo mchezaji mmoja tu timu iwe mbovu na wanaocheza uwanjani ni 11. Na subs 4. Akiba 11??Mkuu hata Kocha aliyepita Fernando Santos alimvumilia sana Ronaldo, baadae akaona huu upuuzi akanza kumweka bench.. Kilichomkuta akafutwa kazi... Haya maisha inabidi ubalansi professionalism na kaunafki...
We angalia Brazil, Carlo Ancelot alikua hataki kumwita Neymar.. Baadae skaona mashabiki nchi nzima wana mind Neymar aitwe... Baadae akaona hawa mafala niwape wanachotaka ili niendelee kulinda kibarua changu... Sasa hv ukiangalia Neymar mwenyewe wachezaji ni full injury na hata angecheza hana mchango wowote wa maana..