2026 FIFA World Cup - Special Thread

Still bado mapema kufanya judgement, nakumbuka Argentina πŸ‡¦πŸ‡· alifungwa na Saudi arabia πŸ‡ΈπŸ‡¦. Lakini bingwa akawa Argentina. Mwaka 2018 Ronaldo alipata hatrick, mechi ya kwanza dhidi ya hispania. Hivyo mie nachojua lolote baya au zuri, ni kawaida sana kutokea kwenye mchezo wa mpira wa miguu.
 
Ureno wakiweza kumuweka benchi Ronaldo watafika mbali sana maana anawakaba
Mkuu hata Kocha aliyepita Fernando Santos alimvumilia sana Ronaldo, baadae akaona huu upuuzi akanza kumweka bench.. Kilichomkuta akafutwa kazi... Haya maisha inabidi ubalansi professionalism na kaunafki...

We angalia Brazil, Carlo Ancelot alikua hataki kumwita Neymar.. Baadae skaona mashabiki nchi nzima wana mind Neymar aitwe... Baadae akaona hawa mafala niwape wanachotaka ili niendelee kulinda kibarua changu... Sasa hv ukiangalia Neymar mwenyewe wachezaji ni full injury na hata angecheza hana mchango wowote wa maana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…