2026 Dream Car!

2026 Dream Car!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
31,139
Reaction score
88,801
Kuna vingi vya kuomba kabla hatujaomba magari.

Hustle + Sala zikikubali basi kimoja kati ya hivi viwili kisajiriwe kwa majina yangu yote matatu.

IMG_4438.jpeg
IMG_4439.jpeg
 
Noma kinomanoma.Haukufukuzwa nyumbani kwako na mama-mtu?Huwa wanakereka sana ila hawajui kwa kutushtaki.
Nilikua geto man alone, na ndo ilikua mara yangu ya kwanza kupiga KIBUNZI, Tulikua kwenye kigrocery flan huko Iringa vijijini(Nilienda kufata mzigo). Jamaa nilikua nae akawa anaipiga hyo nikaona ngoja nionje (nimezurula mikoa mingi sana na nnapenda kuonja pombe za asili). Nikaona tamu lakini haileweshi ndo nkaichanganya na bia na konyagi. Boss wangu asingekua amenizoea kwa muda mrefu nilikua nafukuzwa kazi walahi.
 
Nilikua geto man alone, na ndo ilikua mara yangu ya kwanza kupiga KIBUNZI, Tulikua kwenye kigrocery flan huko Iringa vijijini(Nilienda kufata mzigo). Jamaa nilikua nae akawa anaipiga hyo nikaona ngoja nionje (nimezurula mikoa mingi sana na nnapenda kuonja pombe za asili). Nikaona tamu lakini haileweshi ndo nkaichanganya na bia na konyagi. Boss wangu asingekua amenizoea kwa muda mrefu nilikua nafukuzwa kazi walahi.
Kwa ufupi ulipiga kitu cocktail aka MBABASA.
 
Back
Top Bottom