2022 Rais Samia amefanikiwa kuvifanya Vyama vyote vya Siasa kuwa Kitu Kimoja, Jambo hili lilishindikana tangu 1992!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,131
Lengo la kuanzisha Mfumo wa vyama vingi vya Siasa halikuwa kuleta utengano wa kiitikadi bali kuimarisha mshikamano katika kujiletea Maendeleo kama Taifa

Lakini Kuanzia mwaka huo 1992 Vyama vigeni vikajipa unyonge na kujiita Vyama vya Upinzani bila kusema wanapinga nini na ndipo CCM nao wanajiita Chama Tawala badala ya Chama Ongozi

So kwa takribani miaka 29 palijengeka Upinzani wa kivyama, kuhasimiana na hata kunyang'anyana Wabunge na Viongozi mashuhuri mfano Wazee Lowasa, Membe na Sumaye

Lakini mwaka huu 2022 Rais Samia amevikaribisha Vyama vyote tujenge nchi kwa kuelewana na kushirikiana kupitia Kikosi kazi cha Katiba Mpya na Maridhiano ya Vyama vyote

Kwa sasa Vyama vyote viko pamoja na hili ni Jambo la kumpongeza sana Rais Samia kwa uthubutu na utayari wake wa kukaa Pamoja na vyama vyote vya Siasa

Merry Christmas
 
Lengo la kuanzisha Mfumo wa vyama vingi vya Siasa halikuwa kuleta utengano wa kiitikadi bali kuimarisha mshikamano katika kujiletea Maendeleo kama Taifa

Lakini Kuanzia mwaka huo 1992 Vyama vigeni vikajipa unyonge na kujiita Vyama vya Upinzani bila kusema wanapinga nini na ndipo CCM nao wanajiita Chama Tawala badala ya Chama Ongozi

So kwa takribani miaka 29 palijengeka Upinzani wa kivyama, kuhasimiana na hata kunyang'anyana Wabunge na Viongozi mashuhuri mfano Wazee Lowasa, Membe na Sumaye

Lakini mwaka huu 2022 Rais Samia amevikaribisha Vyama vyote tujenge nchi kwa kuelewana na kushirikiana kupitia Kikosi kazi cha Katiba Mpya na Maridhiano ya Vyama vyote

Kwa sasa Vyama vyote viko pamoja na hili ni Jambo la kumpongeza sana Rais Samia kwa uthubutu na utayari wake wa kukaa Pamoja na vyama vyote vya Siasa

Merry Christmas
Je iyo nia njema imesimama wapi nje ya utashi wa mtu? Itakuwa afya kama ujenzi huu utaanzia kwenye katiba tunahitaji mabadiliko ya kimfumo hatuwezi kundokana na ubaguzi alioanzisha Mwl.Nyerere kwa kudhani nje ya CCM hakuna mtu wa kuongoza nchi. Nia iyo njema aliyoianzisha itajulikana wema wake kama atakubali tupate Katiba mpya tena yenye maoni ya wananchi.#KatibaMpyaNisasa
 
Acha uongo nyie si juzi kulikuwa nauchaguzi wa madiwani unakumbuka kilichokuwa kinatokea!?
 
Back
Top Bottom